Hawa jamaa ni KONYOO sana hawa viumbeKama snipers hawa ni vigumu kuwaonaView attachment 2118726
Hawa jamaa ni KONYOO sana hawa viumbe
Sikumbuki jina lake,,, but very efficient on taking down moving aircraft
@RWANTANG ntafutie moja ya hv
nawakubali kinoma huwa wanamahesabu makali sana na wanajua kucheza na timing kinachonifurahisha zaidi unaweza hata kumpita kutokana na kujiweka kwao kama kinyonga vile kubadilika kulingana na mazingira husika kumbe mwenzako anakulia rada tuHahahahaaaa unawakubali mkuu