Military photos

Ivi AK 47 shilingi ngapi?
ukienda kigoma na mikoa jirani ya congo inasemekana unaweza kuipata kwa exchange ya gunia kadhaa za mahindi,kwa dukani kwenye nchi zinazoruhusu kumiliki ak47 inaweza kuwa kama tsh 7m+ kwa hspa Tz huruhusiwi kumiliki silaha kubwa za aina hiyo,ni bastola tu ambazo Tanganyika Arms wanauza 2m+
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…