Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafkri hata hii f35 hawamuuzii kila mtu. Nahisi ni Israel na Norway tu ndo wameuziwa na pia kuna aina na aina za ndo wameuziwa pia kuna masharti ya modification ktk hizo walizouziwaF 35 US watakuuzia ila mnyama F 22 raptor hata washirika wao wa NATO hawawauzii
Kenya mapolisi huvaa hizi gwanda piaHuyu jamaa anadhalilisha gwanda kifala sanaView attachment 2113805
Kwenye vita ya kwanza ya dunia hawa mbwa walitimika kwenye call of duty kama vibaraka wa kwenda kusaka na kuwagundua wanajeshi walioumia.
Of course ni nzuri kwa close quarter combat,, sema kuna zile ambazo zina bean bag,, aisee tz waruhusu nkanunue moja [emoji41]Blunderbuss
Short gun za kitambo hicho ,short gun idea yake imetoka hapa ni bunduk flan hivi ambazo ziko deadly sana kwa mapigano ya karibu karibu.
Pirates ndiyo gun zao hizi wanazipenda sana.View attachment 2113872View attachment 2113873View attachment 2113874
But still zaidi ya stealth na ile vertical takeoff,, sion kama f35 ni mzuri kuliko f22 raptorNafkri hata hii f35 hawamuuzii kila mtu. Nahisi ni Israel na Norway tu ndo wameuziwa na pia kuna aina na aina za ndo wameuziwa pia kuna masharti ya modification ktk hizo walizouziwa
Bunduki ni shotgun,, but siweki live slugs naweka zile non lethal slugs za pepper au beanbag,, nchi haina amani mtaani hii[emoji1787]unahasira sana bunduki yote hii ya nini mkuu nchi yenyewe amani tu [emoji1787]
The Javelin, Anti tank
Lockheed Martin wanakula shavu sana kwenye kutengeneza ndege za militaryLoockheed U - 2
""nickname yake ni Dragon Lady "" US Air Force na CIA wanaitumia sana hii ndege unaweza iita ndege shushushu (Spy).View attachment 2114565View attachment 2114566