kyanaKyoMuhaya
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,952
- 938
Kurudi femu hamjambo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani ebu tumpe sifa zake huyu kijana he deserve!
Kwanza anajituma,anaheshima,hana makundi,ni mkarimu,
Anapigania life yake step by step ili atoke kwa njia salama
Ni handsome,akismile na wewe ni lazima Usmile,ana rangi ya kiume
(yaani chocolate)ana muonekano wa kistaa,,,
you can mention anything jamani wadhamini pandeni
mbegu kwa kijana huyu hata kumwendeleza zaidi ili aje hata kutangaza CNN
kwani ana nyota na anaweza kuitangaza TANZANIA VIZURI.
Huu ni ukweli mtupu na wala hakuna ubishi,
Simply the best!
ebu niambie ni redio gani nyingine bongo yenye hadhi yake kwasasa, na kwa nature ya vipindi vyake anaweza kushine kama hapo alipo clouds?
alisha shine tokea kule alikoanzia Radio One/ITV,enzi hizo milazo 1 'o' 1 na taarifa za michezo
ni very disciplined level za Deutchwele,wafu fm watamfundisha kufitinisha wasanii tu
alisha shine tokea kule alikoanzia Radio One/ITV,enzi hizo milazo 1 'o' 1 na taarifa za michezo
ni very disciplined level za Deutchwele,wafu fm watamfundisha kufitinisha wasanii tu
ebu niambie ni redio gani nyingine bongo yenye hadhi yake kwasasa, na kwa nature ya vipindi vyake anaweza kushine kama hapo alipo clouds?
unajua ni nini kilimtoa huko ITV/REDIO ONE Hadi akaenda Clouds?
he deserved all above but the media which he working for is what people hates.
Ni kweli kabisa ndugu yangu nami niupate maelezo yangu pia ana sauti ya utangazaji iliyo Tamu kusikiliza! iyo ndo SUPER BRAND INAYOJALI watumishi wake wanayoipond basi wakalie jungu la uji wa moto!Mungu aepushe mbali, watanzania tunamuhitaji alafu unataka aondoke...Si tuiombee hiyo clouds iwe kama CNN.
juzi tu nimekuta post eti amepata zali dstv, sijaielewa lakini mpaka leo sina amani.
Naomba niongezee wasifu...Ni mbunifu, haogopi kuthubutu, anashawishi kumsikiliza.
Ila nakumbuka babu yangu aliniambia kuwa "ukiona vyaelea basi vimeundwa" sifa pia kwa waajiri wake, kwa uwezo na kipaji alichonacho anastahili kuwepo kwenye Super brand radio.
hii comment yako imeniacha hoi.......Watanzania ndo mlivyo mkiona kijana njia ya pesa imenyoka mnaanza kulowesha vyupi vyenu - Yo Yo
unajua ni nini kilimtoa huko ITV/REDIO ONE Hadi akaenda Clouds?
unajua ni nini kilimtoa huko ITV/REDIO ONE Hadi akaenda Clouds?
The guy is good!
He is so different na watangazaji wengine wa station yake! Hana gossips za ajabu ajabu!
News zake zina content!
A good person in a wrong position!
Pale watamfundisha umbea waliozoea coz bila umbea vipindi vyao haviendi!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums