Millard Ayo achafuliwa Instagram

Nikadhani mwana kashindwa kupiga mechi maana kelele za kuwa mwana hasomeki zilikuwa nyingi,kumbe kamkojoza mtu binafsi naona fresh tu[emoji74] [emoji74] [emoji74]

#MaliKauli#FanyeniKazi#
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu Naye Huwa Analipia Mema Hata Kwa Wazinzi
 
Atafutwe huyo dada ahojiwe halafu afuatwe na Millard ayo ahojiwe halafu tutaitazama interview youtube
Mi nadhani millard mwenyewe amhoji huyu demu halafu ajihoji (millard) mwenyew then aturushie kwa [HASHTAG]#AMPLIFAYA[/HASHTAG]
,,,,,,IMOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
mtu wangu wa nguvu akatoa shughuli yenyew nguvu pale pallace morogoro...hahahaha huu mchezo hauihitaji hasira dadaaaaa
 
Sasa dada kama hakumridhisha ipasavyo anataka apate hela mingi wakati Libolo FC amelisifia limecheza vizuri..dada atakuwa ni moja ya malaya wa Msamvu wana njaa sana
 
Mpaka kumaliza mzunguko wa Fiesta atakua kagonga nyapu ngapi, duuh! Kumbe Fiesta ni zaidi ya mwenge wa uhuru.. Hizi Fiesta zinaongeza idadi ya wangonjwa kwa kweli... Imooooo.. Mwakani slogan itakua Uwoooooooo
Kama anategeshewa afanye MTU WANGU WA NGUVU??? Huyu dada hajui magufuri kabana hela? Tusua tu millard...
IMOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Huyu mdada mjinga sana....eti Mungu atakulipa!!?? Atakulipa nini zaidi ya Moto wa milele....??
 
Ngoja arudi dubai ajibu hizi tuhuma ila kwa yule muhindi alie naye millard hawezi fanya huu ujinga
Weeeeeeeeeeeee kakudanganya nani?????[HASHTAG]#ZAKARIA[/HASHTAG] HANA MACHO mtu wangu wa nguvu#
 
Nilisikia kwamba Millard akienda mahali anakuwa na mbebez wa hapo kupitisha sha usiku.....

Nakumbuka last year kuna mdada jina kapuni alikua mpenzi wake, dada akapost picha zao insta weee.... Dakika sifuri sijui ikawaje nikaona kadelete kila kitu hahahahahha
 
Vigumu mkuu sababu mganga hajigangi
1.Mwanamke ataogopa hatotokea studio
2.Mtangazaji atahoji maswali mepesi
3.Mmoja wapo anaweza kupandisha hasira kukaokea ugomvi
4.Anaweza kumpoza ili akanushe
Media nyingine za udaku ndo zinaweza kutupa taarifa safi kwani blogs, magazeti na online Tv si zipo
 
Duh, afadhali nimepata jibu...kumbe Mtu Wa Nguvu naye ni mkali wa hizi kazi? coz nimekuwa njia panda kwa muda mrefu kutokana na jamaa kuwa msiri kupita kiasi....maana najua hata siku ningekutana naye nisingeweza kumuuliza 'hivi huwa unapiga'?

Ila kwa jinsi Millard anavyoaminika kwa jamii yake kulinganisha na mlalamikaji hata mkaamua kuimaliza hiyo kesi, na mkamsingizia Adam a.k.a Baba la Baba kuwa ndio anahusika sisi tutaamini tu, hakuna namna.
 
Hawezi ipo Doro nawaza kwa sauti
 
Alimwambia atamrushia kwa simu...si amsubirie? Watu wanamsubiri YESU miaka elf 2 imepita sembuse yeye hata mwezi bado? ATUNZE RISITI TU..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…