Millard Ayo achafuliwa Instagram

Millard Ayo achafuliwa Instagram

Aisee! Instagram community! Lakini kwanini tunamuona huyo dada muongo? Kwamba Millard Ayo hawezi kupiga mechi za mchangani; au?! Mechi hizi hizi ambazo zinapigwa na Masheikh, Maaskofu, Mawaziri na wengine kibao zionekane haiwezekani kwa Millard? Au hawezi kutoa advance kisha akaingia mitini?!
Upo alright aisee! mi naona dada kadhulumiwa kupigishwa kwata freee! ndio maana masogange anachukuaga selfie akiwa rum ili ashindwe kukataa akizingua alipo!
 
1476499513072.jpg
 
Nataka nitoke kwenye gazeti niuze sura [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Aisee! Instagram community! Lakini kwanini tunamuona huyo dada muongo? Kwamba Millard Ayo hawezi kupiga mechi za mchangani; au?! Mechi hizi hizi ambazo zinapigwa na Masheikh, Maaskofu, Mawaziri na wengine kibao zionekane haiwezekani kwa Millard? Au hawezi kutoa advance kisha akaingia mitini?!
Nashangaa
 
Usikute mdau kakata kwl alaf watu tunamtete kwny maisha chochote kinaweza tokea tn kwa m2 yeyote
 
........dah kumbe haya masuala haya angalii ww ni nani katka jamii.....cha msingi...ni kununua mzigo na kuubinya tyuuu hamna namna....ilaa ka ni kwelii no kutafuta kiki...mh.

ngja nicheke......hhahahahahhahahahahhahahahahhahahhahahhahahahahahhahahahahhahahahahaahahahahahhahahahha
 
Nimewahi toa elfu 80... Ebwana eeh...kumbe ni level za wabunge....si nikaambiwa pesa haitoshi...nikaahidi nitarusha. Nami nikatoka mbio
 
Ii kiki ni gud kwa Millard ila naweza hisi imepandikizwa kumpa ayo kiki,ni maoni yang
 
Back
Top Bottom