Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna tetesi mjini kuwa Millard Ayo ameamua kufunga ndoa kimyakimya bila kelele wala nini. Na kuna mdau amenambia Millard kwasasa hata hasikiki kwenye kipindi chake cha Amplifaya, pengine kuna ukweli, unampa neno gani Millard?
View attachment 2047369
Mchezo wa majizoMkuu bado hii code imefungwa sana...hebu ifungue kidogo ...hapa najua unamzungumzia Majizo ..ila sasa millard na majizo wanafanana kwenye nn
Anhaa sawa sawa ..sasa bwana yule na Millard ..wanafanana kwenye nnSio Majizo hapa anamzungumzia ndugu wa yule msanii mkubwa mwenye mdomo mkubwa.
Fungukeni zaidiYes Yes
Ushawahi kumpelekea tobo lako akashindwa kulenga ?[emoji23][emoji23][emoji23] joka flan halina madhara
Pambana wanao wasiwe waswahili.JF siku hizi ishageuka sehemu ya kuharibu reputation za watu (character assassination).
Hongera Millard Ayo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyoka wa maonyesho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mke amejiandaaje kupambana na wanaume ka wake wenza?
Any way best wishes to them
Mkuu unapanic ...kumbe ushampaga tobo lako kwahiyo una experience ya kutosha???...Hongera adse [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3]Ushawahi kumpelekea tobo lako akashindwa kulenga ?
.ehe vipi una uthibitisho ? au ndio ukiulizwa unaleta zile Mambo za " na Mimi nimesikia tu"Huyo mke amejiandaaje kupambana na wanaume ka wake wenza?
Any way best wishes to them
Udhibitisho kamfate ujaribu Mimi nimeandika nimepita hivi.ehe vipi una uthibitisho ? au ndio ukiulizwa unaleta zile Mambo za " na Mimi nimesikia tu"
Tufunguke nini maana humu jf watu wao wakihuswa eti JF inaharibia watu, Sasa ka mtu ka Rais anaandikwa humu sembuse watu wa kawaida eti nogwaFungukeni zaidi
Dadavua huu umbeyaMmmmh kwa hii picha wala sio uhalisia. Ila nwei hongera kwake.
😂😂😂😂😂HONGERA ZAKE KAMA NI KWELI
ISIJE IKAWA WANAFANYA SHOOTING YA VIDEO YA MSANII TUKADHANI ANAFUNGA NDOA
Wadadis wa mambo wanasema Ayo ni sampuli za kina RJ ze DJ......!!
Sisi tunajiingiza lini?Amejiingiza rasmi kwenye 'locki'.
All the best Ayo.
-Kaveli-