Millard Ayo anawafanya nini Watangazaji wenzake wa Kike, mbona wanacheka sana?

Millard Ayo anawafanya nini Watangazaji wenzake wa Kike, mbona wanacheka sana?

Nasikia ile CMG ana miliki 45% ya hisa.

Hizo hisa kazinunua lini wakati millard kaajiriwa na clouds ikiwa imeshasimama tayari. Kabla ya millard kuja clouds tayari Clouds ilikuwa na uwezo mkubwa mpaka inamleta 50 cent inamlipa. Clouds inamleta Ja rule inamlipa.

Millard ayo ni mtoto mdogo sana kwa clouds kama clouds
 
Hizo hisa kazinunua lini wakati millard kaajiriwa na clouds ikiwa imeshasimama tayari. Kabla ya millard kuja clouds tayari Clouds ilikuwa na uwezo mkubwa mpaka inamleta 50 cent inamlipa. Clouds inamleta Ja rule inamlipa.

Millard ayo ni mtoto mdogo sana kwa clouds kama clouds
Huyu jamaa atakua anaota yani anataka kumfananisha kusaga na Millard
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hiv anajua bei ya tangazo moja pale clouds ambalo halizid hata DK 1??

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 
Mtangazaji wa Clouds, Milard Ayo sijui anawafanya nini co-presenter wake wa kike.

Ukianza na Meena Ally na sasa kwa Frida Amani wanacheka sana sijui kisa nini.

Kitu kidogo tu akiongea utakutaa wanakamuaa kichekoo mpaka huruma. Mamlaka ziingilie kati.
Boss akiongea lazima ufurahi kwa nguvu ili na yeye afurahie...hata akijamba unapaswa kumpa pole huku ukimuhurumia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichekesho kikitolewa ,wanawake wengi wanaocheka hawacheki eti kwa sababu kichekesho ni kizuri ila ni kwasababu huwapenda wale waliotoa vichekesho hivyo; na endapo hawakupendi hata kichekesho chako kingekuwa kizuri kwa kihasi gani hawatacheka, ila mwanaume akicheka kuhusu kichekesho fulani ni kwasababu kichekesho chenyewe ni kizuri lakini si kwasababu eti anampenda mchekeshaji hii ni kwasababu wanaume wana uwezo wa kukabili hisia. - Unknown.
 
Hali inatisha sana jana, Frida Amani kacheka hadi kaingia chini ya meza. Embu fikiri frida ni mgumu yule, anaimba Hip hop sasa kama yeye kaingia kichwa chini ya meza. Manzi laini watafanya nini.
Acha wivu tafuta hela
 
Hizo hisa kazinunua lini wakati millard kaajiriwa na clouds ikiwa imeshasimama tayari. Kabla ya millard kuja clouds tayari Clouds ilikuwa na uwezo mkubwa mpaka inamleta 50 cent inamlipa. Clouds inamleta Ja rule inamlipa.

Millard ayo ni mtoto mdogo sana kwa clouds kama clouds
Fact.
[emoji106][emoji106]
 
Ndugu, kama ulikuwa hujui. Huyo dogo Millard Ayo, ni miongoni mwa madogo wenye fedha nyingi hapa bongo, hao mademu wanalijua hilo. Kalaghabaho!
Uwekezaji wake umejikita kwenye nini hasa mkuu?

Au ndo online tv? Maana kama ni online tv zipo nyingi mno na hazilipi kivile.
 
Back
Top Bottom