BarajaMkush
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 1,633
- 2,975
Mjengo wake pale ubungo msewe kafunga mtaa5M USD ni zaidi ya 10B za Kitanzania! Anashindwa nini kuanzisha Radio Station yake?? Ili awe free zaidi na kufanya kazi zake yeye mwenyewe?? Kipindi kama amplifier anachofanya pale Cloud's akihamishie kwenye Radio yake na apige pesa nyingi zaidi??
AkihamamClouds basi tambua Social accounts zake zote (Youtube, Facebook, Instagram, twitter nk.) zote zinabaki kuwa mali ya Clouds Media Group) , hata hilo jina la Millard Ayo ni mali ya CMG, hata hilo jina la Amplifier ni la CMG. Sasa akitaka kuhama navyo watamwambia alipe dola milion 5 kwa mfano, atabako na nini sasa?5M USD ni zaidi ya 10B za Kitanzania! Anashindwa nini kuanzisha Radio Station yake?? Ili awe free zaidi na kufanya kazi zake yeye mwenyewe?? Kipindi kama amplifier anachofanya pale Cloud's akihamishie kwenye Radio yake na apige pesa nyingi zaidi??
Umewaza vizuri lakini kipindi hicho ni chake mwenyewe!!...kuna watu wanavipindi kwenye radio na TV nyingi!!.. Nadhani hii inalipa zaidi kuliko kuwa na media house yako mwenyewe!!..5M USD ni zaidi ya 10B za Kitanzania! Anashindwa nini kuanzisha Radio Station yake?? Ili awe free zaidi na kufanya kazi zake yeye mwenyewe?? Kipindi kama amplifier anachofanya pale Cloud's akihamishie kwenye Radio yake na apige pesa nyingi zaidi??
Hata ITV alishawahi kutangaza.Ila kijana ametoka mbali sana kutokea radio wapo fm hadi alipo sasa.
Kila mtu ana eneo lake utaalam5M USD ni zaidi ya 10B za Kitanzania! Anashindwa nini kuanzisha Radio Station yake?? Ili awe free zaidi na kufanya kazi zake yeye mwenyewe?? Kipindi kama amplifier anachofanya pale Cloud's akihamishie kwenye Radio yake na apige pesa nyingi zaidi??
Nkoaranga jamani kuna baridi kama kwenye freezerMyebusi acha tu. Kumbe nkoaranga unapafaham Aisee
Huijui Ngada wewe.Ngada hela yake ya kawaida sana. Bora mtu ujikite tu kwenye biashara ya mayai ya kware na matikiti. Masogange alikuwa anabeba magunia na magunia ya ngada lakini laifu yake ilikuwa ya kawaida tu.
Ila wakikujua hawakusumbui hata ukikutana nao usiku hawatakudhuru. Lima sana nyanya sadek
kuna moja imeandika tizama ufuska wa mtoto wa mama SamiaNamkubali sana Millard Ayo,hua namchukulia kama reliable source kwangu kupata habari za uhakika,hata Youtube heading yake huendana na kilichomo ndani ya vdo clip husika,kuna viblog unakuta heading na kilichomo ndani ya vdo ni Mbingu na Ardhi.
Msilite fitna TRA wakapiga hodi mbona unalipa kidogo. Tajiri lazima iwe reflected na ngapi unalipa Tax vingenevyo uhujumu uchumi.
Whatever,he's still the best compare to other blogg.kuna moja imeandika tizama ufuska wa mtoto wa mama Samia
Hahaha aseeIla wakikujua hawakusumbui hata ukikutana nao usiku hawatakudhuru. Lima sana nyanya sadek
Wapuuzi Sana Hawa,wanachukulia mambo simple simple5M USD ni zaidi ya 10B za Kitanzania! Anashindwa nini kuanzisha Radio Station yake?? Ili awe free zaidi na kufanya kazi zake yeye mwenyewe?? Kipindi kama amplifier anachofanya pale Cloud's akihamishie kwenye Radio yake na apige pesa nyingi zaidi??
Si simple kama usemavyo....clouds ni mwajiri tu ni Millard ni mwajiriwa. Mwajiri ata own any innovation made by an employee while in the course of employment.AkihamamClouds basi tambua Social accounts zake zote (Youtube, Facebook, Instagram, twitter nk.) zote zinabaki kuwa mali ya Clouds Media Group) , hata hilo jina la Millard Ayo ni mali ya CMG, hata hilo jina la Amplifier ni la CMG. Sasa akitaka kuhama navyo watamwambia alipe dola milion 5 kwa mfano, atabako na nini sasa?
Sawa lakini usisahau kuwa Clouds ndiye mwenye hatimiliki ya Amplifier na sio Milard, Kuhamisha kipindi inawezekana tu kama Clouds watakubaliana naye, vinginevyo labda aje na yeye na radio na kipindi kama hicho katika Radio atakayoianzisha.5M USD ni zaidi ya 10B za Kitanzania! Anashindwa nini kuanzisha Radio Station yake?? Ili awe free zaidi na kufanya kazi zake yeye mwenyewe?? Kipindi kama amplifier anachofanya pale Cloud's akihamishie kwenye Radio yake na apige pesa nyingi zaidi??