Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ni mbinu zako za kibiashara, na yeye ana zake pia. Nenda kamshauri.5M USD ni zaidi ya 10B za Kitanzania! Anashindwa nini kuanzisha Radio Station yake?? Ili awe free zaidi na kufanya kazi zake yeye mwenyewe?? Kipindi kama amplifier anachofanya pale Cloud's akihamishie kwenye Radio yake na apige pesa nyingi zaidi??
Ndiyo maana nikauliza hilo swali! 5M USD ni parefu sana! Hizo pesa sio la mchezo eti! Unaweza omba leseni Central Bank,ukaanzisha Bank yako!
Sio formula hiyo mkuu,,Mimi pia nilitaka kujua hilo, kwanini aendelee kuwa mtumwa wa mtu wakati ana uwezo wa kutosha kufanya yake na kuajiri zaidi na zaidi...?
Sababu zimekuzwa kwa kutumia rasilimali za Clouds. Bila Clouds wewe ungejua kuna mdudu anaitwa Ayo? Wakienda mahakamani wanamshinda mchana kweupe, ni kama mume atake kuacha mke bila kumpa chochote wakati ulichuma ukiwa nae, hata kama wewe ndio uliingiza pesa yote na kununua vitu vyote bila mke kutoa hata mia, bado anahaki na kila ukichopata ukiwa nae, labda kama alikukuta navyo na Vikabaki katika kiwango kile kile bila kukua ukiwa nae.Kivipi social network ziwe mali ya clouds?
Amplifier ni ya clouds
Youtube labda inawezekana sina uhakika kwa ufahamu, lakini hapo kwenye twitter ig na fb naomba nifahamishe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna moja imeandika tizama ufuska wa mtoto wa mama Samia
Hiyo haiwezi kuwa sababu millard ayo waiati anaenda clouds alitoka radio one ambayo ilikuwa imeiacha mbali sana clouds.Sababu zimekuzwa kwa kutumia rasilimali za Clouds. Bila Clouds wewe ungejua kuna mdudu anaitwa Ayo?
Ayo wa Radio one na wa Clouds ni sawa? Huwezi kuacha mke bila kumpa stahiki zake kwa ulivyopata ukiwa nae. Kila kitu ataacha hapo, popote mahakamani anapigwa mueleka asubuhi na mapema. Konde boy alilipishwa bilioni kadhaa kubaki na account zake alipotoka wasafi, hizi media Groups sio wajinga...!Hiyo haiwezi kuwa sababu millard ayo waiati anaenda clouds alitoka radio one ambayo ilikuwa imeiacha mbali sana clouds.
Clouds ataacha kipindi cha ampifaya tu
Siyo umbea sema Misago kawekeza kwenye stori za mastaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Eti misago,wakapige umbeya!
3.5m usd hata kusaga boss wake hana robo ya hiyo pesa,au unaongelea zim $One of the richest bloggers in Africa Forbes ilinukuu.
Ukimuona simple tu wa kawaida lakini ana hela ndeefuuu na nyingi sana.
Utajiri wake unakadiriwa 3-5 Millions US dollars. Vyanzo vingine vya uhakika na kuaminika vinadai anaweza kuwa na utajiri hata zaidi ya iyo dollar million 5.
Ni kwa kujituma kwa Millard na weledi alionao umemfikisha hapa alipo. Ana mchango mkubwa kwenye taifa kwa kutoa ajira hasa kwa vijana na kulipa kodi.
Ubunifu wake na kujituma kwake imepelekea makampuni mengi kung'ang'ania kwenye blog yake kwa ajili ya matangazo.
Pia amewainspire mablogger wengine ambao wana chipuka kwa kasi ya hatarii kama role models models wao.
Tunamtakia heri na azidi kuendelea kuwa na mafanikio zaidi.
Hahahah3.5m usd hata kusaga boss wake hana robo ya hiyo pesa,au unaongelea zim $
Mpuuzi anaanzisha uzi wa kupuuzi,maisha yake hajawahi kuona hata 100m zaidi ya kuona bundle za benki akitumwa kuweka helaHahahah
Hahahaha ila umenena kweli Mkuu.Mpuuzi anaanzisha uzi wa kupuuzi,maisha yake hajawahi kuona hata 100m zaidi ya kuona bundle za benki akitumwa kuweka hela
Ninaona hoja yako, na ina mantiki. Lakini, mambo haya ni complex kidogo. Inabidi mwenyewe atuambie, tena aseme ukweli, kulikoni? Unamfahamu Richard Quest, msoma taarifa za biashara na uchumi pale CNN? Jamaa ni bilionea,lakini ni mwajiriwa wa CNN (Sina hakika kama bado yupo CNN though).5M USD ni zaidi ya 10B za Kitanzania! Anashindwa nini kuanzisha Radio Station yake?? Ili awe free zaidi na kufanya kazi zake yeye mwenyewe?? Kipindi kama amplifier anachofanya pale Cloud's akihamishie kwenye Radio yake na apige pesa nyingi zaidi??
Faida ya utajiri ni kuwa na unachotaka kwa wakati unaoutaka hayo mengine ni ufuska.Sasa utajiri faida yake nini? Kula Serena hotel halafu basi? Mimi hapa ndio huwa pananichanganya kabisa!!!
Sasa kumbe demu mmoja tu ndio unasema yeye mtu wa totoz. Hata angekuwa nao watatu sio jambo la kushtushaNi mtu wa totoz pia sijui siku hizi. Mwaka 2012 kama sikosei alikuwa anaishi msewe.
Mimi bila kujua tukawa tunafukuzia demu mmoja anaitwa Besta (siandiki zaidi zaidi kuhusu huyu na kilichotokea)
Ukiacha bahati na majaliwa Yasir God... Milladi ayo ananidhamu na heshima Sana ..kwenye kazi, kwenye maisha ya kawaida hii ndio Siri ya mafanikio yake..One of the richest bloggers in Africa Forbes ilinukuu.
Ukimuona simple tu wa kawaida lakini ana hela ndeefuuu na nyingi sana.
Utajiri wake unakadiriwa 3-5 Millions US dollars. Vyanzo vingine vya uhakika na kuaminika vinadai anaweza kuwa na utajiri hata zaidi ya iyo dollar million 5.
Ni kwa kujituma kwa Millard na weledi alionao umemfikisha hapa alipo. Ana mchango mkubwa kwenye taifa kwa kutoa ajira hasa kwa vijana na kulipa kodi.
Ubunifu wake na kujituma kwake imepelekea makampuni mengi kung'ang'ania kwenye blog yake kwa ajili ya matangazo.
Pia amewainspire mablogger wengine ambao wana chipuka kwa kasi ya hatarii kama role models models wao.
Tunamtakia heri na azidi kuendelea kuwa na mafanikio zaidi.