Tatizo la ayo.com ni kuchelewa kuleta taarifa, jf iko fasta sanaHuyo kijana anastahili.
Kwenye blog yake anafuata sana ethics za uandishi. Ni nadra sana kukuta taarifa ya uongo au uzushi.
Huwa nikitaka taarfa za uhakika..namba moja ni hapa JF, namba mbili kwa hyu dogo.