Millard Ayo: Bilionea mstaarabu

Millard Ayo: Bilionea mstaarabu

Huyo kijana anastahili.

Kwenye blog yake anafuata sana ethics za uandishi. Ni nadra sana kukuta taarifa ya uongo au uzushi.
Huwa nikitaka taarfa za uhakika..namba moja ni hapa JF, namba mbili kwa hyu dogo.
Tatizo la ayo.com ni kuchelewa kuleta taarifa, jf iko fasta sana
 
Ninaona hoja yako, na ina mantiki. Lakini, mambo haya ni complex kidogo. Inabidi mwenyewe atuambie, tena aseme ukweli, kulikoni? Unamfahamu Richard Quest, msoma taarifa za biashara na uchumi pale CNN? Jamaa ni bilionea,lakini ni mwajiriwa wa CNN (Sina hakika kama bado yupo CNN though).
Yupo
 
wengi tulioanza blogging miaka ya 2009 tuliishia njiani lakini jamaa aliendelea kukaza hadi leo hii daah [emoji1621]
 
One of the richest bloggers in Africa Forbes ilinukuu.

Ukimuona simple tu wa kawaida lakini ana hela ndeefuuu na nyingi sana.

Utajiri wake unakadiriwa 3-5 Millions US dollars. Vyanzo vingine vya uhakika na kuaminika vinadai anaweza kuwa na utajiri hata zaidi ya iyo dollar million 5.

Ni kwa kujituma kwa Millard na weledi alionao umemfikisha hapa alipo. Ana mchango mkubwa kwenye taifa kwa kutoa ajira hasa kwa vijana na kulipa kodi.

Ubunifu wake na kujituma kwake imepelekea makampuni mengi kung'ang'ania kwenye blog yake kwa ajili ya matangazo.

Pia amewainspire mablogger wengine ambao wana chipuka kwa kasi ya hatarii kama role models models wao.

Tunamtakia heri na azidi kuendelea kuwa na mafanikio zaidi.
Ana demu[emoji2960]
 
Huyo kijana anastahili.

Kwenye blog yake anafuata sana ethics za uandishi. Ni nadra sana kukuta taarifa ya uongo au uzushi.
Huwa nikitaka taarfa za uhakika..namba moja ni hapa JF, namba mbili kwa hyu dogo.
JF Napakubali sana sana 100% kuna mambo na info huwezi kupata popote Tz hii.JF ni zaidi ya yote hayo.JF Mungu awabariki sana.
 
"Mimi ni Millard Muyenjwa Laizer Ayo..ikumbatie CloudsFm".

Millard amefanikiwa sana aisee carrierwise..
 
Akheri huko wameru walipowatahiri Wajerumani kwa nguvu na kuwaua. Ila wameru bana. Kuna siku nshupu tulikuwa na opereshen ya kusaka magovi yani tukiyapata kwanza tunayashushia mkong'oto wa maana halafu tunayatairi.
Hahaha umenikumbusha mbali watu walikimbia familia zao.
 
Huo ubillionea wenu wa kwenye magazeti ya udaku mnamponza mwenzenu atakutana na TRA ashindwe kujibu Kama mnavyomjaza mzee wa wa dabriusibii kununua rozirozi gereji huko Dubai ili aonekane billionea. Pesa inaongea yenyewe haisemwi ni kama pembe la ng'ombe
 
One of the richest bloggers in Africa Forbes ilinukuu.

Ukimuona simple tu wa kawaida lakini ana hela ndeefuuu na nyingi sana.

Utajiri wake unakadiriwa 3-5 Millions US dollars. Vyanzo vingine vya uhakika na kuaminika vinadai anaweza kuwa na utajiri hata zaidi ya iyo dollar million 5.

Ni kwa kujituma kwa Millard na weledi alionao umemfikisha hapa alipo. Ana mchango mkubwa kwenye taifa kwa kutoa ajira hasa kwa vijana na kulipa kodi.

Ubunifu wake na kujituma kwake imepelekea makampuni mengi kung'ang'ania kwenye blog yake kwa ajili ya matangazo.

Pia amewainspire mablogger wengine ambao wana chipuka kwa kasi ya hatarii kama role models models wao.

Tunamtakia heri na azidi kuendelea kuwa na mafanikio zaidi.
Tatizo Forbies wamekuwa wahuni, hivi unadhani Mmeru angekuwa na Utajiri huo angekuwa hivyo alivyo?
 
Back
Top Bottom