Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amebanaaaaa weeeee mwishoni kaachia.
Kachoka masikini ya Mungu kupishana na fuko la hela maana kutomzungumzia Diamond Platnumz ni kujipotezea pesa za bure maana kila habari inayomuhusu Diamond ni pesa tosha.
Ninaona leo anapost habari za Diamond kwa fujoo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijui wale vidagaa wengine sura zao wataweka wapi maana Millard ndiye aliyekuwa jeuri kushinda wote.
Kachoka masikini ya Mungu kupishana na fuko la hela maana kutomzungumzia Diamond Platnumz ni kujipotezea pesa za bure maana kila habari inayomuhusu Diamond ni pesa tosha.
Ninaona leo anapost habari za Diamond kwa fujoo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijui wale vidagaa wengine sura zao wataweka wapi maana Millard ndiye aliyekuwa jeuri kushinda wote.