Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule asipokuwa makini ataolewa yeye[emoji23]Tujifunze na sisi tunaotaka kuingia huko
😂 😂 😂 😂 😂hata kwa kujificha
WeeeYule asipokuwa makini ataolewa yeye[emoji23]
...yeye anafanya biashara kama hamumlipi kwanini ampost? Hata mie ningekuwa na blog ningepost habari zenye interest na mimi tu....
Kwa kufanya Free Promo au siyo? bando,laptop,camera etc wananinunulia walaji?Biashara ni kuzingatia interest za walaji wako, sio zako.
Hance Mtanashati akinzungumzia Diamond moyo wake burdan.
Hobobo huyo...Wewe una matumizi ya muda?
😂😂😂Itakuwa Diamond ndiye Asprin wake.
Anakuwa na midadi....Hance Mtanashati akimzungumzia Diamond moyo wake burdan.
Sasa kati ya Diamond na Millard nani anahitaji promo ya mwenzie?Dawa ipi sasa? Anzisheni web yenu muwe mnampost yeye tu kwani laptop bando ananunuliwa na WCB? yeye anafanya biashara kama hamumlipi kwanini ampost? Hata mie ningekuwa na blog ningepost habari zenye interest na mimi tu kama unataka nikupost tukae mezani umwage mpunga tufanye biashara hakuna Promo za bure.
Kwani hali ikoje pale mkuu!labda kweli,kwa jinsi hali ilivyo pale siku hizi???
Millard ayoSasa kati ya Diamond na Millard nani anahitaji promo ya mwenzie?
kweli mzee, Millard ni kama kashafika kwenye climax ya wafuatiliaji kutoka Tanzania ndo maana kiasi cha wafuatiliaji wake kama vile subscribers wanapanda taratibu.Millard ayo
we huoni kila siku watangazaji wanakimbia pale!!!Kwani hali ikoje pale mkuu!
sasa atanunua nani???? yeye analeta habari walaji wakiwa wengi si ndio anapata dili mbalimbali kama matangazo ambayo ndo yanamuingizia pesa.Kwa kufanya Free Promo au siyo? bando,laptop,camera etc wananinunulia walaji?