Millard Ayo kanyooka, kutomzungumzia Diamond Platnumz ni kujipotezea pesa

Millard Ayo kanyooka, kutomzungumzia Diamond Platnumz ni kujipotezea pesa

Dawa ipi sasa? Anzisheni web yenu muwe mnampost yeye tu kwani laptop bando ananunuliwa na WCB? yeye anafanya biashara kama hamumlipi kwanini ampost? Hata mie ningekuwa na blog ningepost habari zenye interest na mimi tu kama unataka nikupost tukae mezani umwage mpunga tufanye biashara hakuna Promo za bure.
Sasa kati ya Diamond na Millard nani anahitaji promo ya mwenzie?
 
Back
Top Bottom