Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Wewe una matumizi ya muda?Kweli watu Hamna matumizi ya mda
Tulia dawa ikuingie.Yeye anaingiza pesa mkuu sijui wewe unafaidikaje kwa kumpost domondi?
Ili agundue nn mkuuMi nikadhani katangaza kumwoa mina ally bhana!
Tujifunze na sisi tunaotaka kuingia hukoIli agundue nn mkuu
Dawa ipi sasa? Anzisheni web yenu muwe mnampost yeye tu kwani laptop bando ananunuliwa na WCB? yeye anafanya biashara kama hamumlipi kwanini ampost? Hata mie ningekuwa na blog ningepost habari zenye interest na mimi tu kama unataka nikupost tukae mezani umwage mpunga tufanye biashara hakuna Promo za bure.Tulia dawa ikuingie.
Tena tuseme kama alikuwa ana ukame vile, maana kila dakika anampost diamondHance Mtanashati akinzungumzia Diamond moyo wake burdan.
USINIFOKEEDawa ipi sasa? Anzisheni web yenu muwe mnampost yeye tu kwani laptop bando ananunuliwa na WCB? yeye anafanya biashara kama hamumlipi kwanini ampost? Hata mie ningekuwa na blog ningepost habari zenye interest na mimi tu kama unataka nikupost tukae mezani umwage mpunga tufanye biashara hakuna Promo za bure.
Ukioa usininyime kadi ya harusi basiTena tuseme kama alikuwa ana ukame vile, maana kila dakika anampost diamond
Nioe mara ngapi?Ukioa usininyime kadi ya harusi basi
Yule Mtanga si mliachana?Nioe mara ngapi?
labda kweli,kwa jinsi hali ilivyo pale siku hizi???Atakua anajiandaa kuondoka Clouds huyoo..