Millard Ayo, mtangazaji tajiri zaidi Tanzania, analipwa Mil 50-80/month na Youtube

Umetudanganya mkuu, fuatilia vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Millard Ayo anamiliki Vifaa vya Redio na Tv kabisa. Akiamua kuweka Transmitter tu anaruka hewani.

Sema kuna kitu anasubiri kitimie.
atasikiliza nani iyo redio.... kumiliki redio sio kama kumiliki iphone 7

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
You tube hutoa royalties ikiwa account yako ina matangazo.Na utapata royalt ikiwa angalau kila tangazo litaangaliwa kwa angalau sekunde 30

Sent using Jamii Forums mobile app
nikionaga ile ads ya tangazo nairusha fasta niende kwenye content ya nilichokusudia kufungua youtube

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
ndio zangu kuskip tangazo

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
Jamaa anapesa lakini hanenepi unakuta jitu linalipwa laki mbili halafu lina tumbo kubwa alafu linasema hapa kazi tu.

Sent from my Blackberry DTEK70 using JamiiForums mobile app
 
mwenyew nimeshangaa eti analipwa milion tano mawingu hawahawa au

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
Clouds nadhani zaidi ya mshahara ni umaarufu/promotion maana jina lake analotumia clouds ndio jina lake la biashara...kama sio clouds hata blog yake tusingeifahamu kiasi hiki.
 
Clouds kunampa promotion pia, nadhani bila clouds hata hiyo blog yake isingefahamika kama inavyofahahamika, halafu kazi ya utangazaji ni kama part time, maana anaifanya kwa masaa machache sana kwa siku
Mkuu kutangaza ni sehemu ndogo tu ya kazi, sehemu kubwa ni kutayarisha kipindi. Kwa mtu anayeingiza hela hiyo iliyotajwa kamwe hawezi kuhangaika kutengeneza kipindi cha mtu mwingine ili apate mshahara (na promo kama ulivyosema). Hiyo promo kwanza alishapata, haihitaji kwa sasa. Ndio maana wengi wanapinga kwamba anapata kiasi hicho cha hela.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nadhani habari anazotangaza pia zipokwenye blog yake, so kuandaa kuna serve both kazi yakebinafsi na kazi ya clouds, halafu promo hainaga mwisho inahitajika tu, fikiria voda wanafanya promo zote hizo kwenye tv, radio na blogs, mabango, ligi kuu japokuwa wanafahamika na wanaweza kutuma sms pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…