mbona una hasira ivyo? una wembe karibu utafune kidogo c bure una wivu wewKwanza watu munadanganyana najua kila kitu kuhusu Google adsense YouTube monetization system huyo jamaa kulingana na views za video zake,keywords,ctr na nchi alipo awezi kupata zaidi ya 3000 dollars kwa mwezi kulingana na idadi ya video anazopublish kwa mwezi
Alafu eti mnasema cpm ni 7.9$ per 1000
Huu ni uongo anayelipwa zaidi YouTube duniani ni Felix kljeberg mmiliki wa chanell ya pew die pie huyu analipwa dollar 2.5 kwa views 1000 mimi mwenyewe ninachanell yangu YouTube inaitwa teco gamer na views wote ni wa marekani na nalipwa dollar 1.26 kwa views 1000 na actually napata views nyingi kuliko ayo na napablish video 3 kwa week kuhusu magemu na namna ya kucheza kuhack coinscoins etc na nalipwa Zaidi ya dollar elfu 2500 tu ambayo aizidi million tano
So tuache kudanganyana million amsini munafikiri masiala eti cost per mile 7.9 aizidi Ata dollar 3 we fikiria iwapo adwords ukilipa dollar 5 tangazo lako linaonekana(viewed) Mara 2000 je yule mwenyewe video YouTube atapa dollar ngapi kwa hiyo 2000 views kama cyo dollar 2 au 3 kwaiyo kila 1000 views ni dollar 1 au 1.5
Watu tunajua nyinyi siku nyingine musituletee upuuzi kama huu Tena mmenikela kwa kusema cpm =7.9$
Milele aminaTumsifuni Yesu kristo
Huu ni uchocheki wa juuIla Millard bwana anajituma sana na kazi zake hata Online TV yake kukiwa kuna Matangazo Mubashara inakuwa na Quality nzuri kushinda hata TBC
Milele Amina!!! Teh, teh.....Tumsifuni Yesu kristo
Hiv unajua umri Wa Millard ayo hadi unamwita dogo?Nimeisha kusema katika watu nawaokubali huyu Dogo mmojawapo!!!!!!
Kwanza kabisa nikupe hongera Millard ayo kwa kazi nzuri unayofanya ya uandishi wa Habari. Wewe una kipaji kikubwa sana.
Presenter millard Ayo ndio anayetajwa kuwa mtu anayepokea royalities za You tube nyingi zaidi baada ya Diamond Platnumz katika nchi ya Tanzania, hii ni kutokana na viewers na subscribers wa channel zake ambapo kwa mwezi malipo yake huwa yana range mil 50 hadi 80 kutokana na idadi ya viewers, diamond anarange 80mil-130mil kwa mwezi.
Kwakweli nimpe hongera kwani ameajiri vijana wengi(zaidi ya 10) ktk online TV yake.
Vijana nawaasa muwe wabunifu kama millard na mtafanikiwa sana. Millard ayo tunatarajia kuona mambo zsidi kutoka kwako, ikiwezekana ufungue kituo cha radio na television kwani una mashabiki wengi.
Wengine wanaovuna mkwanja mkubwa you tube ni global tv, harmonize, rayvanny. Actually hata wasanii ambao sijawataja nao wanapata pesa nyingi tu.
Thanks
Mtoa uzi si hakua na cha kuandika anaamua kudanganyaHana vdeo Ata moja inayofika million kuna moja kajitaid kafikisha laki tano ivyo kwa cpm ya tz kwalipwa dollar 556 ambayo aizidi million 1.5tzs
Would check it outEti eeeeh mi mwenyewe youtuber napata viewers wengi kuliko uyo mirald cheki chanell yangu teco gamer ni kuhusu games apps na nimetarget America audience na cpm yangu n 3$ kwa 1000 views
sijui ila kwa muonekano waweza baini...xHiv unajua umri Wa Millard ayo hadi unamwita dogo?
Hebu kwenda zako hukoKumbee. Loh. Ivi ameoa kweli. Niwe shemeji yenu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]
Me nilipiga naye picha kabisayes
kuna siku nilikutana nae photopoint, nikajua walewale superstars unaweza kumsalimia akachuna na akajiona unajikomba!!!....
akanisalimia kwa heshima sana, tukaanza story!! humble sana
Magu 400Ml 80 kwa mwezi that's means anamzidi Magu kwa mshahara? Haaaa haaaa hi hatarii