Millard Ayo, mtangazaji tajiri zaidi Tanzania, analipwa Mil 50-80/month na Youtube

Millard Ayo, mtangazaji tajiri zaidi Tanzania, analipwa Mil 50-80/month na Youtube

Kwanza watu munadanganyana najua kila kitu kuhusu Google adsense YouTube monetization system huyo jamaa kulingana na views za video zake,keywords,ctr na nchi alipo awezi kupata zaidi ya 3000 dollars kwa mwezi kulingana na idadi ya video anazopublish kwa mwezi
Alafu eti mnasema cpm ni 7.9$ per 1000
Huu ni uongo anayelipwa zaidi YouTube duniani ni Felix kljeberg mmiliki wa chanell ya pew die pie huyu analipwa dollar 2.5 kwa views 1000 mimi mwenyewe ninachanell yangu YouTube inaitwa teco gamer na views wote ni wa marekani na nalipwa dollar 1.26 kwa views 1000 na actually napata views nyingi kuliko ayo na napablish video 3 kwa week kuhusu magemu na namna ya kucheza kuhack coinscoins etc na nalipwa Zaidi ya dollar elfu 2500 tu ambayo aizidi million tano
So tuache kudanganyana million amsini munafikiri masiala eti cost per mile 7.9 aizidi Ata dollar 3 we fikiria iwapo adwords ukilipa dollar 5 tangazo lako linaonekana(viewed) Mara 2000 je yule mwenyewe video YouTube atapa dollar ngapi kwa hiyo 2000 views kama cyo dollar 2 au 3 kwaiyo kila 1000 views ni dollar 1 au 1.5
Watu tunajua nyinyi siku nyingine musituletee upuuzi kama huu Tena mmenikela kwa kusema cpm =7.9$
mbona una hasira ivyo? una wembe karibu utafune kidogo c bure una wivu wew
 
Anajitunza pia Mwili na Akili na anaongozwa na hofu ya MUNGU.

Anaupendo wa kweli kwa binadamu wenzie anasikitikia matatizo ya kimaisha ya wengine na ana fikra za kushirikiana na jamii isiyojiweza kutatua shida zao.

Nilimsikiliza akihojiwa na Dada Rita hakika jamaa nilimkubali saana nami namtakia mafanikio zaidi na zaidi.

Alijielezea kuwa rafiki zake sometimes wanamshangaa kwann anatembelea gari ya kawaida ! Wakati anaouwezo mkubwa.
 
Kwanza kabisa nikupe hongera Millard ayo kwa kazi nzuri unayofanya ya uandishi wa Habari. Wewe una kipaji kikubwa sana.

Presenter millard Ayo ndio anayetajwa kuwa mtu anayepokea royalities za You tube nyingi zaidi baada ya Diamond Platnumz katika nchi ya Tanzania, hii ni kutokana na viewers na subscribers wa channel zake ambapo kwa mwezi malipo yake huwa yana range mil 50 hadi 80 kutokana na idadi ya viewers, diamond anarange 80mil-130mil kwa mwezi.

Kwakweli nimpe hongera kwani ameajiri vijana wengi(zaidi ya 10) ktk online TV yake.
Vijana nawaasa muwe wabunifu kama millard na mtafanikiwa sana. Millard ayo tunatarajia kuona mambo zsidi kutoka kwako, ikiwezekana ufungue kituo cha radio na television kwani una mashabiki wengi.

Wengine wanaovuna mkwanja mkubwa you tube ni global tv, harmonize, rayvanny. Actually hata wasanii ambao sijawataja nao wanapata pesa nyingi tu.

Thanks
5e2c9ad68159e6c05aabdcd2d9c43735.jpg


Kupotosha umma sio jambo jema,, youtube hailipi kwa subscribers ,,ni kwa views .. na kwa videos za millard ayo hata video moja ikifika million views atalipwa 10,000$ (taking that amount ya 10$ per 1000 views) whereas sidhani kama millard vids zake zinagongaga million,, so naomba uongee vitu vinavyosense na sio kuwablackmail watu humu

Your boy Ngebo...
 
Hana vdeo Ata moja inayofika million kuna moja kajitaid kafikisha laki tano ivyo kwa cpm ya tz kwalipwa dollar 556 ambayo aizidi million 1.5tzs
Mtoa uzi si hakua na cha kuandika anaamua kudanganya
 
Eti eeeeh mi mwenyewe youtuber napata viewers wengi kuliko uyo mirald cheki chanell yangu teco gamer ni kuhusu games apps na nimetarget America audience na cpm yangu n 3$ kwa 1000 views
Would check it out
 
Mweeeee unawaponza wenzio. Watu wa TRA watawashukia na kuwakamua kweli kweli. Subiri uone.
 
Halafu anaishi simplee balaaa namuona wa mbali sana...hata vaa yake kofia nyuma fulana ya kawaida kikaputura...headphone kisaa cha plastic +American boots always nyeusi..na kirozari chake keep it up milard wewe ni mfano wa kuigwa....hata afulie huwez jua sio mtu wa show off..
 
yes

kuna siku nilikutana nae photopoint, nikajua walewale superstars unaweza kumsalimia akachuna na akajiona unajikomba!!!....

akanisalimia kwa heshima sana, tukaanza story!! humble sana
Me nilipiga naye picha kabisa
 
kama hawa wanapata milion 50 kwa hizi view milion 3 , hivi Wiz Khalifa na ile video ya see you again ina view bilion 3 analipwa kiasi gani kwa mwezi..
 
Back
Top Bottom