SASA We Ndo Hujui Unachokiongea! Hata Idadi Ya Viewers Inaangaliwa Kwenye Malipo Ya YouTube! Thought Na Hilo La Matangazo Pia Huingiza Mkwanja Pia.
Hata demu wake hatujawahi kumsikiaKumbee. Loh. Ivi ameoa kweli. Niwe shemeji yenu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]
boss i dnt remember the last time nmewasha ITV mi content zangu zote YOUTUBE na ONLINE koz nna SMART TV so kama unapata content zote na bado wataka hadi uwe na mlingoti then lets agree to disagree ila hata nje ndo way wanareach more viewers nadhan hata hizi BET ,FOX,ALJAZEERA Wanafanya hivyoAyotv ni YouTube channel sio TV,..!
Hahahaha unajua vituko vingi sana nchi hii..embu tia neno comredi,
Hawa bavicha wasitudanganyee [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
baba mnene yupi?Na atafanikiwa maana watu tunaompenda tupo wengii sana tofauti na yule baba mnene mwenye manenoo mengiii....Nidhamu ndo kila kitu Hongeraa Millard Endelea kusonga Mbele baba
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi revenue za Youtube na blogs zenye adsense, serikali wanapata kodi?Kama hamna uhakika msiwe mnakuja tudanganya hapa
Youtube hailipi kwa views au kwa idadi ya watu walio view content yako
Youtube wanalipa kwa matangazo yanayotokea kwenye video uliyoweka
Piga hesabu sasa ni matangazo mangapi ya youtube unayakuta kwenye video za millardi au diamond
Kwa ad views 1000 mtu hupata approximately 7.9 dollars ambazo hapo youtube wanakata 45pc wanaichukua wao
Ili upate angalau dollar 3000 watakiwa upate viewers watakao view ads kwenye video zako zaidi ya viewers milioni moja
Kuna youtube superstars wenye subscribers zaidi ya milioni wanaishia hicho ulichosema kuhusu diamond na hiyo ni hela ya mwaka mzima sio ya mwezi kama unavyotaka danganya watu
ila millard ayo ana matangazo ya voda na GSM kwenye video zake, halafu ana adsense tena, combine hao sponsor wote ni kiasi gani kwa mwezi?Kama hamna uhakika msiwe mnakuja tudanganya hapa
Youtube hailipi kwa views au kwa idadi ya watu walio view content yako
Youtube wanalipa kwa matangazo yanayotokea kwenye video uliyoweka
Piga hesabu sasa ni matangazo mangapi ya youtube unayakuta kwenye video za millardi au diamond
Kwa ad views 1000 mtu hupata approximately 7.9 dollars ambazo hapo youtube wanakata 45pc wanaichukua wao
Ili upate angalau dollar 3000 watakiwa upate viewers watakao view ads kwenye video zako zaidi ya viewers milioni moja
Kuna youtube superstars wenye subscribers zaidi ya milioni wanaishia hicho ulichosema kuhusu diamond na hiyo ni hela ya mwaka mzima sio ya mwezi kama unavyotaka danganya watu
hivi revenue za Youtube na blogs zenye adsense, serikali wanapata kodi?
sasa marekani wamkate mtu yupo Tz kodi kwa minajili gani? labda wangaikata kampuni ya Youtube pekee, inge make senseSijui ila kwa marekani IRS wanazikata mapema ziingiapo kwenye account yako
ila millard ayo ana matangazo ya voda na GSM kwenye video zake, halafu ana adsense tena, combine hao sponsor wote ni kiasi gani kwa mwezi?
sasa marekani wamkate mtu yupo Tz kodi kwa minajili gani? labda wangaikata kampuni ya Youtube pekee, inge make sense
Ila hapa inaongelea Youtube
lugha gani? kusema "yahaya"?Ka sababu umemtolea lugha si mzuri ndo maana nikasema hivyo. Sorry
kabisaaUsiamini vya kuambiwa hata mimi naweza kuandika hapa nina bilioni mia tisa....u see so simple.
Hoja dhaifu sana hii. Unataka upafahamu anapoishi ili ufanyeje?. Tanzania yote hii unafahamu kila mtu anaishi wapi?lugha gani? kusema "yahaya"?
Yahaya ni mtu asiejulikana anakoishi.
ndicho nilichomaanisha, yawezekana watu wanapafahamu ,mm sijawahi kuona mahala popote wanaelekeza hata anakoishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana Moja kati ya Thamani za hio pesa anapata kila mwezi ni mahala anapoishi ,je pana thamani hio?Hoja dhaifu sana hii. Unataka upafahamu anapoishi ili ufanyeje?. Tanzania yote hii unafahamu kila mtu anaishi wapi?
Youtube wanasema kipato chake kwa mwezi kina range kuanzia, dola 2,600 hadi dola 41, 400..... ukichukulia katikati hapo ni kama dola 22,000 amabazo ni milioni almost 50 kwa tanzania, bila kodi
View attachment 547197