Issue wala sio kampuni haitaki zitolewe hizo habari kwenye media zao issue ni kwamba hamna kitu kama hicho kwenye ulimwengu wa biashara... that's it! Serengeti Fiesta na Kilimanjaro Music Tour ni Close competitors... there's no way in business world taasisi moja ya kibiashara inaweza kutangaza biashara ya mshindani wake!Yani atoea habar ambazo kampuni hazitak zitolewe kwenye media yao? Unataka afukuzwe kazi? Ataishije mjini apa?, Na wewe umesema ubagui media, basi sikiliza radio nyingine zinazoongelea kili tour, sio lazima clouds tu