Anaona hamlipi kibiashara labda
Buenos noches
Huyu kijana naweza sema ni mtanashati na mbunifu sana kwenye tasnia ya habari, anatumia vizuri social media kutufikishia habari ontime na uncernsored. Kupitia youtube channel yake pia blog yake ya millardayo.com tunapata updated news
Awali nilifikiri millard anatuhabarisha au anapost every current news, hachagui habari, last week alipost ishu ya alikiba na mikataba ya sony. Vilevile alipost diamond na deal ya redgold tomato. Ila nimepata wasiwasi pale ambapo hajapost anything about LADY JAYDEE na show yake, hata highlights hakuna. Inamaana AyoTV ni ya ruge au kwenye mikataba ya clouds kwa wafanyakazi wake kuna clause yakumzuia staff kujihusisha na habari zozote za lady jaydee.
Kwangu naona hapo anakosa ueledi na utashi wa kuchagua habari za kupost, alipost behind the scene za nyimbo ya chura, pia hata ishu cjui ya bday ya dancer wa diamond. Inamaana show ya Jaydee wasn't relevant au!!!!
Note:
Ni mtazamo tu
Jay Dee kaanza kujulikana
Millard yupo shule
Brand ya Jay Dee ni kubwa zaidi ya hizo blogs.
Kifupi Millard akitaka kupost habari ya Jide itabidi amlipe Jide pesa nyingi sana.
Hata mimi nashindwa kushangaa kwa sababu ile millardayo.com ni yake anaingizaje mambo ya kwenye ajira yake na huku kwenye kazi yake ya ziada au mkataba unaingilia hata vitu vilivyo nje ya ofisi zao.
Mapenzi.Ivi Jde na Clouds media walitofautiana wap?
Alikuomba umfollow?Huyu dogo hapo ndipo aliponikera nikaamua kumu unfollow insta
Kwa hiyo mdada kinachomsumbua ni kakiburi ka Kikurya??Uyo dada yenu alivyo na kisirani akiona Ayo ka-post habari zake atakimbilia kwa mwanasheria kudai alipwe hana akili ashasema ile crew ya mawingu wasijihusishe nae Ayo anaweza akafanya kama taaluma yake yakamkuta,mtu wa aina ya yule dada ni kukaa nae mbali.
Wewe sasa ndiye umefafanua kwa mapana yake.Kuna kitu kinaitwa conflict of interests kwenye hii mikataba ya ajira. Unapoajiriwa unakubali kabisa kwamba hutafanya biashara au kazi nyingine yenye mlengo sawa na wa ajira yako, hutakiwi kufanya biashara itakayocompete na hiyo ya mwajiri wako.
Habari ya Millard Ayo kuwa na Blog, You Tube na Mitandao mingine ni lazima kwa mujibu wa mkataba asiweke vitu ambavyo vitakinzana na matakwa ya mwajiri.
Kama unaona AyoTV anatumia hadi brand ya Clouds mfano mic nk.
mhhh kumbe haujuiIvi Jde na Clouds media walitofautiana wap?
Wewe sasa ndiye umefafanua kwa mapana yake.
Mara Ruge mara Kusaga!! Hivi nani ni nani kati yao? BOSS ni yupi?Kwa hio AYO Tv ni ya ruge mtahaba.
Jide alidai clouds wanambaniaIvi Jde na Clouds media walitofautiana wap?
Mkuu huyu anaelewa unachoongea sema anataka akuvuruge na awavuruge watu.Birthday ya nuhu mziwanda je alilipia?
Behind the scene ya chura anaruka ililipiwa?
Birthday ya mtoto wa dancer wa diamond alilipia?
Nadhani mwenzangu huelewi vizuri dhana ya habari? You don't pay kwa ajili ya habari. Kama show ishafanyika thats news my friend, sio matangazo. EA alilipia matangazo kabla ya show na live coverage. Cjui umenielewa
Ndio mkuuKwa hiyo mdada kinachomsumbua ni kakiburi ka Kikurya??