Huyo makondakta asipoacha unafiki ...asahau ..si mkewe alipandikizwa last year dec akafanikiwa kuwa na wa3 tumboni..at the end akapata cervical incompitance...Hiyo mimba ilikuwa ya kupandikiza mjue, so it wasnt that easy .Céline Dion nae alipandikiza sana, embryo zinakufa, mwisho wa siku Mungu akamuona. Mke wa makonda nae asikate tamaa aendelee kupandikiza. Ipo siku nae atabeba mtoto.
mangeTetesi zilikuwepo mbonaa....mbea wetu alishatuambia mudaaa... [emoji1] [emoji1] [emoji3] [emoji3] [emoji1]
none of the above
Kwani Mkuu hawa ndugu zetu hujui wanakuwa na sura mbili za mitandaoni na halisi.
why mtoto kuitwa ubini wa mageseBaada ya kuhangaika sana dada Millen magese ama zamani happiness magese na aliyewahi kuwa miss Tanzania, hatimaye mnamo tarehe 13 july 2017, 06:58 am amefanikiwa kupata mtoto wa kiume KAIRO MICHAEL MAGESE
Ikumbukwe dada millen amehangaika sana lakini hakukata tamaa, nadhani watu wenye matatizo kama hayo msikate tamaa.....
Hongera Millen
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh mkuu una maneno makaliEndometriosis si ndio huyu? Kumbe alikuwa anakutana na tubamia hatufiki kuleeee kuunganisha, kapata mkuyenge kakunwa kakojolewa zikatuama shaaa. Next time take care
Kuzaa si adhabu, uchungu ndo adhabuMungu amekosa waja!
Kuzaa ni adhabu aliyopewa mwanamke.
Utekelezaji wa adhabu hauambatani na sifa kwa mtoa adhabu.
Mkuu hiyo adhabu imeandikwa wapi? Ninaposoma mimi uzazi ni baraka ila uchungu wa wakati wa kuzaa ndio adhabu.Mungu amekosa waja!
Kuzaa ni adhabu aliyopewa mwanamke.
Utekelezaji wa adhabu hauambatani na sifa kwa mtoa adhabu.
Niliyafuta maneno yangu kwa kuyakanusha, haina afya kuyajadili.Mkuu hiyo adhabu imeandikwa wapi? Ninaposoma mimi uzazi ni baraka ila uchungu wa wakati wa kuzaa ndio adhabu.
Vv
Sawa bwaana! Kinyeo ni kisafi ila mavi ndio machafu!
Naona ndo kilichojaa kweli akili yako.Kaimbe taarabu mbele huko.
Nilikuwa na mawazo kama yako.... jisaidie usaidiwe... amehangaika aiseee kichumi na kihisia muujiza haukuja tu kirahisi hisi. Angekata tamaa hata Muumba asingembariki. Tutafute kuwa na uchumi usio wa njaa njaa na miujiza itakua tele maishani mwetu.
Waafrika bhana, kila mtu Mungu Mungu Mungu, kama huyo Mungu ndio kamtia mimba vile. Comments kama hizi huwezi kuziona hata kwa hao watu waliomleta Mungu Afrika
Waafrika bhana, kila mtu Mungu Mungu Mungu, kama huyo Mungu ndio kamtia mimba vile. Comments kama hizi huwezi kuziona hata kwa hao watu waliomleta Mungu Afrika
Asingeweza kuonyesha maana lingetokea lolote asijifungue ingemuuma sana.Kama ni kweli, nampongeza sana kwa kuweza kuishi kipindi cha ujauzito wake kwa usiri..binafsi sikuwahi kusikia au kuona picha za tumbo lake kama wengine wanavyofanya. Mungu awatunze yeye na mwanawe.
Msome comments kidogo... mmeambiwa KAPANDIKIZA MBEGU sasa ulitaka amuite ubin wa docta???why mtoto kuitwa ubini wa magese
sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
Hiyo mimba ilikuwa ya kupandikiza mjue, so it wasnt that easy .Céline Dion nae alipandikiza sana, embryo zinakufa, mwisho wa siku Mungu akamuona. Mke wa makonda nae asikate tamaa aendelee kupandikiza. Ipo siku nae atabeba mtoto.