Millen Magese (Happiness Magese) apata mtoto

Kwanini alidanganya umma kuwa hawezi pata?
Watu walimuonea huruma kumbe alikuwa anadanganya....
Alitumia matatizo yake kuanzisha foundation kumbe mjanja anataka ale hela za watu
We utakuwa na roho mbaya kama mchawi. Umeumia kweli
 
Mbona jina kampa la ukoo wake huyo mtoto badala la ukoo wa mumewe(kama yupo), au kapandikizwa mbegu?
 
Hongera zake Millen, kupata mtoto kwa njia ya test tube si rahisi Kuna wengi walikata tamaa ila wewe imani yako imekupa mtoto.
 
Dah!!!! basi hata WEMA wangu naee atapata mtoto
 
Ma Dr walikua waongo waliposema hatozaa
Mkuu hizi kauli za fulani hazai msiwe mnazisikiliza hata kidogo. Nimeshuhudia wanawake kadhaa waliotuhumiwa hivyo wakizaa.
Bahati mbaya wakati mwingine kauli hizi wanatoaga hata madaktari wanao heshimika na elimu zao kabisa!
Muwapuuze na mumtumainie Mungu siku zote! .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…