Ksh 500,000=Tsh1000,000?
Milionea ni wengi sana TZ
Mkuu umeitendea haki coment ya kwanzaTafuta pesa zako....ipo cku nawewe Google watakutafuta
Correction! Ksh50000=Tsh1000000.Ksh 500,000=Tsh1000,000?
Milionea ni wengi sana TZ
Kwasabab akili yako ni yakuvukia barabara...change them into us dollar pimbiKsh 500,000=Tsh1000,000?
Milionea ni wengi sana TZ
Yeg your poor to Tz....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Correction! Ksh50000=Tsh1000000.
Thaman ya pesa siyo kikwazo cha mtu kutokuwa multimillionaire au billionaire. Pamoja na kuwa Zimbabwe thamani ya pesa iko mochwari, lkn there are multimillionaire there.Correction! Ksh50000=Tsh1000000.
[emoji23][emoji23]sasa mbona hata tukisogea huko hatuwaoni wakora.au tuongeze na wanasiasa hapo!!!!!kitu ambacho hujui millionea wote wanakua ranked kwa dollar millions sio pesa za madafu
Baada ya Kugoogle hizo takwimu zinatoka source gani hasa?Wana bodi
Nilikuwa naiangalia nchi ya Rwanda, ukitafta tajiri wa Rwanda unaletewa matajiri wa ulimwengu akina Jeff na akina Gates.
Ndipo nikajaribu kwa Tanzania, aisee tuna matajiri hadi inakera. Taarifa za 2019, zinaonesha Tanzania ina milionea 5,600s wakati Kenya ikihangaika na 2,000s.
Pitia link hii
How many millionaires are there in Tanzania? - بحث Google
Kenyans richer but Tanzania home to more millionaires
View attachment 1516002
Siyo serikali chali, ni Knight Frank hata sijui wanatoka wapiBaada ya Kugoogle hizo takwimu zinatoka source gani hasa?
Ni creadible source au wewe umeangalia picha au wingi wa search results tu kutoka Google?
Tunaposema millionaires sio 1mil ya TZS ni 1,000,000USD ambayo ni sawa na 2,500,000,000 TZS.
Nina wasiwas na chanzo hasa cha hizo takwimu,ni nani hasa alietoka hizo numbers?Anaaminika au?
Kama zimetoka serikalini,piga chini!
Ni mabeberu wa uingerezaBaada ya Kugoogle hizo takwimu zinatoka source gani hasa?
Ni creadible source au wewe umeangalia picha au wingi wa search results tu kutoka Google?
Tunaposema millionaires sio 1mil ya TZS ni 1,000,000USD ambayo ni sawa na 2,500,000,000 TZS.
Nina wasiwas na chanzo hasa cha hizo takwimu,ni nani hasa alietoka hizo numbers?Anaaminika au?
Kama zimetoka serikalini,piga chini!
I see....hawa nawajua,ni property managers...wamechukua bei ya ardhi!
bill mbili za madafu,hata platnumz,laizer himself wanazo.Baada ya Kugoogle hizo takwimu zinatoka source gani hasa?
Ni creadible source au wewe umeangalia picha au wingi wa search results tu kutoka Google?
Tunaposema millionaires sio 1mil ya TZS ni 1,000,000USD ambayo ni sawa na 2,500,000,000 TZS.
Nina wasiwas na chanzo hasa cha hizo takwimu,ni nani hasa alietoka hizo numbers?Anaaminika au?
Kama zimetoka serikalini,piga chini!
Hamna kitu kama hichoI see....hawa nawajua,ni property managers...wamechukua bei ya ardhi!
Tanzania kuna ardhi tele,ila hela hakuna!
Tayari washafeli hapo