Millionaires btn Kenya and Tanzania

Millionaires btn Kenya and Tanzania

ntamaholo

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
12,938
Reaction score
6,942
Correction! Ksh50000=Tsh1000000.
Thaman ya pesa siyo kikwazo cha mtu kutokuwa multimillionaire au billionaire. Pamoja na kuwa Zimbabwe thamani ya pesa iko mochwari, lkn there are multimillionaire there.

Usipaniki bro
Screenshot_20200725-084852_1595656232929.jpg



The Wealth Report | Africa Supplement
 
Wana bodi

Nilikuwa naiangalia nchi ya Rwanda, ukitafta tajiri wa Rwanda unaletewa matajiri wa ulimwengu akina Jeff na akina Gates.

Ndipo nikajaribu kwa Tanzania, aisee tuna matajiri hadi inakera. Taarifa za 2019, zinaonesha Tanzania ina milionea 5,600s wakati Kenya ikihangaika na 2,000s.



Pitia link hii

How many millionaires are there in Tanzania? - بحث Google

Kenyans richer but Tanzania home to more millionaires
View attachment 1516002
Baada ya Kugoogle hizo takwimu zinatoka source gani hasa?

Ni creadible source au wewe umeangalia picha au wingi wa search results tu kutoka Google?

Tunaposema millionaires sio 1mil ya TZS ni 1,000,000USD ambayo ni sawa na 2,500,000,000 TZS.

Nina wasiwas na chanzo hasa cha hizo takwimu,ni nani hasa alietoka hizo numbers?Anaaminika au?

Kama zimetoka serikalini,piga chini!
 
Baada ya Kugoogle hizo takwimu zinatoka source gani hasa?

Ni creadible source au wewe umeangalia picha au wingi wa search results tu kutoka Google?

Tunaposema millionaires sio 1mil ya TZS ni 1,000,000USD ambayo ni sawa na 2,500,000,000 TZS.

Nina wasiwas na chanzo hasa cha hizo takwimu,ni nani hasa alietoka hizo numbers?Anaaminika au?

Kama zimetoka serikalini,piga chini!
Siyo serikali chali, ni Knight Frank hata sijui wanatoka wapi

The Wealth Report | Africa Supplement
 
Baada ya Kugoogle hizo takwimu zinatoka source gani hasa?

Ni creadible source au wewe umeangalia picha au wingi wa search results tu kutoka Google?

Tunaposema millionaires sio 1mil ya TZS ni 1,000,000USD ambayo ni sawa na 2,500,000,000 TZS.

Nina wasiwas na chanzo hasa cha hizo takwimu,ni nani hasa alietoka hizo numbers?Anaaminika au?

Kama zimetoka serikalini,piga chini!
Ni mabeberu wa uingereza


The Wealth Report | Africa Supplement
Screenshot_20200725-093009.jpg
 
Baada ya Kugoogle hizo takwimu zinatoka source gani hasa?

Ni creadible source au wewe umeangalia picha au wingi wa search results tu kutoka Google?

Tunaposema millionaires sio 1mil ya TZS ni 1,000,000USD ambayo ni sawa na 2,500,000,000 TZS.

Nina wasiwas na chanzo hasa cha hizo takwimu,ni nani hasa alietoka hizo numbers?Anaaminika au?

Kama zimetoka serikalini,piga chini!
bill mbili za madafu,hata platnumz,laizer himself wanazo.

ni kahela kadogo sana japo sijakashika,ila nakubali kuna individual zaidi ya 5000 tz wanazo hizi.
 
I see....hawa nawajua,ni property managers...wamechukua bei ya ardhi!

Tanzania kuna ardhi tele,ila hela hakuna!

Tayari washafeli hapo
Ha ha ha wamechukua watu wanaomiliki usd 0.5mil wewe mbona unapindisha?
 
Back
Top Bottom