Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Wajameni nina 5M ninataka izunguke ilinipate japo pesa ya kulipia mtoto ada bila kubangaiza.
Msaada wenu wa mawazo nitauheshimu sana na kama nikifanikiwa na idea ya mtu baada ya miaka miwili au mitatu sitamsahau japo kwa zawadi ya shukurani.
Mwenzenu kwenye matatizo na raha.
Msaada wenu wa mawazo nitauheshimu sana na kama nikifanikiwa na idea ya mtu baada ya miaka miwili au mitatu sitamsahau japo kwa zawadi ya shukurani.
Mwenzenu kwenye matatizo na raha.