Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,828
Nakubaliana nawe mkuu alafu samahani ni Mkuru na si mkura najua ni typing error tu lakin nilikua najaribu tu kumpa mawazo tofauti kama ulivochangia mwenzangu yeye ndo mwenye pesa mwsho wa ciku mwamzi mkuu ni yeye lakn akhasante tupo pamoja
samahani mkuu
ni mawazo mazuri ila hilo la kilimo cha kitunguu ni bora zaidi cha muhimu ni kufanya utafiti wa masoko hasa nchi za jirani
ahsante Sana Mkuu!!