M MWANANCHI MUSOMMMA JF-Expert Member Joined Nov 17, 2010 Posts 328 Reaction score 50 Jul 13, 2014 #41 Mkuu nami nina ekari zangu za shamba mkuranga ila nahitaji mtu wa kunielekeza kilimo hiki mpaka napanda .... Nahitaji mtu anaeelewa kilimo hiki na mwenye uwezo wa kulima kilimo cha biashara... Malipo kwa maelewano kama upo tayari pm me...
Mkuu nami nina ekari zangu za shamba mkuranga ila nahitaji mtu wa kunielekeza kilimo hiki mpaka napanda .... Nahitaji mtu anaeelewa kilimo hiki na mwenye uwezo wa kulima kilimo cha biashara... Malipo kwa maelewano kama upo tayari pm me...
C chesco01 New Member Joined Jul 12, 2014 Posts 1 Reaction score 0 Jul 13, 2014 #42 fwatilia kilimo cha vitunguu maji wekeza milion 4 milioni moja ihifadhi na baada ya miezi mitatu utakuja kuniambia faida ulioipata kutokana na kilimo
fwatilia kilimo cha vitunguu maji wekeza milion 4 milioni moja ihifadhi na baada ya miezi mitatu utakuja kuniambia faida ulioipata kutokana na kilimo