KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Dunia msongamano kasema mamaVery strange
Very strange
Hawakubali kujikubali kwamba hawana uwezo wa kutungisha ujauzito.Wacha watapeliwe tu hadi akili ziwakae mshazali.Dunia msongamano kasema mama
Uko poa mpendwa 🤗Aisee 🤔🤔
Me niko salama, vipi wewe unaendeleaje?Uko poa mpendwa 🤗
Ups side down, middle coolMe niko salama, vipi wewe unaendeleaje?
Chamsingi kupumua my friendUps side down, middle cool
Pumzi pekee haitoshi, baadae bhanaChamsingi kupumua my friend
Haya poa, me nipoPumzi pekee haitoshi, baadae bhana
Mwamposa kwani anasemaje? Aongeze maji kwenye radiator au aongeze mafuta kwenye tank?Hawakubali kujikubali kwamba hawana uwezo wa kutungisha ujauzito.Wacha watapeliwe tu hadi akili ziwakae mshazali.
Nafikiri washike panapoleta tafrani waombewe.Wakishindwa kuombewa dua njema,waombewe hata maji ya kunywa.Hamna namna!Mwamposa kwani anasemaje? Aongeze maji kwenye radiator au aongeze mafuta kwenye tank?
Atulie mumo kwa pale.Wajanja na makuwadi watamfikia tu.Hii ishu ipo wapi?
Kuna pisi kali hapa katiwa mimba mwanaume kaikataa na kaondoka kabisa mjini. Nadhani angempata mtu wakuihudumia angefarijika sana. Maana anasema kuilea hawezi na kuitoa anaogopa ndio kwanza mwezi mmoja
Sisi wapenzi wa P inajulikana kama cuckoldHakuna cha bure.Wanaliwa kidogo ili watunziwe heshima "batili"!