Mimba ya mchepuko inanitesa

mzama chumvini

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2016
Posts
730
Reaction score
642
Sabakher wadau,

Kuna mdada alikuwa anafanya usafi kazini kwetu sasa kwa bahati mbaya nikapitiwa na shetani nikamla. Akapata mimba ina miezi miwili sasa tangu wiki ya jana! Ananisumbua sana kwa kusingizia mimba.

Jumatatu nimeenda kumuona akaniambia x mtoto anataka umuimbie Dah!Basi kidume nikabana pua moja nikaimba bado ya Harmonize nikauchuna.

Sasa ya leo ndo mataka kanitext eti mimba inataka simu yenye whatsapp, Duh! Nikaona huu ujinga nikamjibu kama vipi nihamishie mimba yangu. Naona majukumu yamekua mengi.

Eti wadau nimekosea?
 
Hiyo mimba ni Joint venture! Wewe kazi yako kuimbia mimba. Kuna Mwanaume anagharimia kila kitu. Hiyo simu ya wasap kachomekea tu!
 
Mkuu bado tu haujaenda Kigoma baada ya mzumbe kukuzingua? Acha tabia hiyo usiipeleke Kigoma utakwisha
 
Hapo hakuna shetani wala nini!
Sema uliyataka mwenyewe kama vp hudumia tu
 
Dah unamsingizia shetani tu

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
umekuwa ujainga vip,kwani ww ulipofanya mapenzi si ulijua anayefanya naye anaweza kupata ujauzito-moja kama majukumu ya baba ni kumfurahisha mama wa mtoto wako
 
Mkome wanaume wengne cjui mkoje kaz kumcngizia shetan tu
 
Hivi......
Wakati unamchanua miguu huku ukimu hemea kifuani haukulijua kama ndio unaingiza mimba..[emoji32]
[emoji102] Mhhhhhh.......[emoji187]
Ebu ngoja kwanza..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…