Mimba ya mchepuko inanitesa

Fanya kumuoa Huyo mrembo braza.

Acha uzinifu.....braza
 
Umeyataka mwenyewe.
 
nachukia watu wanaosema mimba ni bahati mbaya damn you ukimwi ukikupata ndo utajua
 
Usikubali kuendeshwa we mkatae hadi mtoto azaliwe kisha mkapime.dna....huyu atakuwa kapogwa mimba na mpiga deki mwenzie wakakubaliane wakudakishe mtoto....akikua anakukataa..we nenda mzima.mzima tu uone moto.wake
 
Tena mtoto akizaliwa kama.ni wako una option ya kumtumia matumizi akikua anakuja kwako...yeye ruksa kuolewa na mungine
 
Kwahiyo?? Huna hela ya simu what's app au?
 
Ewe mwanaJF kabla haujachangia post yoyote ya popoma wetu mzama chumvini ni vizuri ujue baadhi ya post alizowahi kutupia hapa jf.πŸ˜€πŸ˜€

1. Dimond anakalibia kuvunja ndoa yangu.
Humu alikuwa analialia juu ya tabia ya mke wake (ambaye nadhani hayupo) kumuweka dimond FB na kwny whatsapp dp yakeπŸ™„

2. Kwanini ukienda haja kubwa na ndogo inatoka?
Hii inajielezea, kumbuka huyu ni mtu anayetuaminisha kuwa ameoa na anamudu familia😳

3. Ushauri: anayefuga mbwa anipe njia ya kumzuia mbwa dume asitoroke kufuata mbwa jike.
Bado perception ni ya kingonongono tu😑

4. Mimba ya mchepuko inanitesa.
Mume huyu, analialia mke wake kumuweka dimond dp kumbe yeye anachepuka😱

5. Nauza vifaa vya video shooting.
Post ambayo mie ndio niliiona kuwa ina maana kidoogo.

6. Kwanini hamtaki kununua vifaa vyangu vya video shooting?!
Akaanza kulialia tena, braza! Usawa wa maguu huu pesa mgumu usiforce mambo.

7. Jux ni mfano wa mwanaume asiyefaa kuigwa.
Humu anamlaumu jux kwa kumuacha jacki sijui (yule aliyekamatwa na heroin kule china) na kuanzisha uhusiano na vanessa mdee, bila kujua hayo ni maamuzi binafsi ya mtu.

Kwa post nyingine za mzama chumvini fanya kuifungua profile yake na ujionee maajabu, hiyo itakupa scope kubwa ya understanding pale utakapokuwa unacomment katika post zake.

Rai yangu kwa bwana mzama chumvini, ubongo una tabia moja unique sana, ni kama computer system, rubbish in rubbish out, punguza kuujaza ubongo wako upuuzi, hiyo itakusaidia kutokutoa upuuzi continously na katika kiwango kikubwa kama ambacho unacho.

Dedicate muda wako katika pursuit of pure knowledge na mambo mengine productive.
 
Kweli nimekubali huyu jamaa ni popoma
 
Afadhali umenisaidia kumfahamu
 
sizzya007 naona senior member umekuja tena kutafuta kick Lol!! Nitapost nipendavyo kwan we dare to talk openly!! Atakaye comment gud! Asiye comment gud! Coz comment haipunguz mshaara wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…