Mimba ya nne kujifungua kwa njia ya kisu, nini madhara au athari kwa mama?

Mimba ya nne kujifungua kwa njia ya kisu, nini madhara au athari kwa mama?

Umeona sasa ulivyo fala.

Kama mama alishagundulika ni seropositive anapima tena maambukizi ili iweje?

Kama hana lazima apimwe mara hizo zote tano (3 post delivery) kipindi chote cha breastfeeding ambapo kimakadirio ni mwaka na nusu mpaka miaka miwili ,na huo ndio muongozo na ukipita RCH clinics zote utaratibu ndio huo.
Nimekuuliza hizo Post delivery zinatolewa RCH ipi hapa bongo?
Medical professionals huwa hawajibu hivyo mkuu jitahidi uwe professional hata kdg unajiaibisha mkuu
 
Wakuu habari za jioni, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kuna mama ni mjamzito kwa sasa ana watoto watatu lakini ametoka kujifungua mwaka umepita mtoto wa mwisho na uzao wote ni kisu. Sasa swali langu uyu mama alitoka kujifungua mwaka jana na sasa ni mwaka tu umepita sasa sijui niseme bahati mbaya amepata mimba nyingine.

Swali langu kwenu vipi kama akihamua kujifungua je kuna madhara ya kiafya atapata ambayo yatagharimu uhai wake? Au atoe tu huu ujauzito?

Naomba ushauri wenu najua hapa kuna madaktari mbalimbali wenge kujua mambo ya afya.

Karibuni kwa mchango.
Hivi ni lazima kuzaa watoto wengi? Ujinga tu
 
Kwa sababu imeshatokea, huna namna . Asitoe mimba ila awe karibu na madaktari.
 
Eti hakuna madhara
Dr hawezi kutoa ushauri wa kipuuzi kama huu
Wengi huambiwa baada AC-Sectin ya tatu mzazi huwa anafungwa kizazi
Hii nimeiona sana majuu na ni uhakika hata mke wangu alifungiwa

Ni hatari sana kuendelea kula kisu kila wakati mzazi anaweza kufa
Huu sio uzazi wa kawaida jamani, kwa hiyo una limit
Na ni kidonda kilichopona huoni tumbo linaweza kupasuka kwenye mshono wa mara kwa mara
Kwa wasioelewa wajisomee zaidi kujifunza
 
Eti hakuna madhara
Dr hawezi kutoa ushauri wa kipuuzi kama huu
Wengi huambiwa baada AC-Sectin ya tatu mzazi huwa anafungwa kizazi
Hii nimeiona sana majuu na ni uhakika hata mke wangu alifungiwa

Ni hatari sana kuendelea kula kisu kila wakati mzazi anaweza kufa
Huu sio uzazi wa kawaida jamani, kwa hiyo una limit
Na ni kidonda kilichopona huoni tumbo linaweza kupasuka kwenye mshono wa mara kwa mara
Kwa wasioelewa wajisomee zaidi kujifunza
Mkuu vp walifunga kizazi bila ridhaa yenu au mlitoa ridhaa kama mume na mke?
Lakini hapa tunaongelea mtu ambae imeshatokea amepata mimba sasa afanyeje?
 
Back
Top Bottom