😂😂😂 PoleMasikini tunaandamwa sana humu.
Hata kwa wanawake. Unaweza kuwa na mwanamke mtoto wa ushuani unampenda kweli unatamani akuzalie muendeleze ukoo wenye fedha, unafanya nae kila siku mimba haishiki. Mguse mfanya kazi wako wa ndani sasa hata bahati mbaya tu, mapacha hawa hapa.
😂😂😂😂😂😂dah nimecheka kinomaKuna muda mdada anatumia mbinu za kivita kumtega tajjiri kihisia ili amnase. Na akimnasa anatumia njia za Cuba kumuweka tajiri kwapani...
Kwaiyo makurumbembe ndio hazishiki maana kizazi kiko mbali 😂Sababu kuu ni age factor. House girl anakuwa na umri mdogo. Kizazi kiko karibu. Binti yoyote under 20s. Ukimwaga ndani tu mimba anashika fasta fasta
Kwaiyo makurumbembe ndio hazishiki maana kizazi kiko mbali 😂
Kila kukicha nyuzi ni za kutusema na kutufanya tujione hatuna haki hata ya kuwa humu JF, lol!😂😂😂 Pole
Wahuni sio watu wazuri maana wao mimba nu supa gluuu, ikina ni mpaka mtoto azaliweKuna muda mdada anatumia mbinu za kivita kumtega tajjiri kihisia ili amnase. Na akimnasa anatumia njia za Cuba kumuweka tajiri kwapan...
House girl akimaliza kuoga halafu akajifutia taulo ya baba mwenye nyumba ananasa mimba. Balaa linaanzia.Mguse mfanya kazi wako wa ndani sasa hata bahati mbaya tu, mapacha hawa hapa
Toa ushuhuda.SIO KWELI
🤣🤣🥴Mimba ambazo wadada wanakuwa wamebebeshwa na walalahoi huwa hazisumbui na kamwe hazitoki hata itokee ajali ya kuangukiwa na ukuta.
🤣🤣🤣🤣House girl akimaliza kuoga halafu akajifutia taulo ya baba mwenye nyumba ananasa mimba. Balaa linaanzia.
Nakazia📌Mimba za maskini zinabebwa wadada wakiwa wadogo hawajajanjaruka.. mimba za matajiri wanazibeba wadada wakiwa wakubwa wakubwa washakuwa wajanja.
Mimba kwenye tumbo la early 20s kuharibika ni ngumu sana.. tofauti na mimba ya late 20s ama 30s.. kidogo tu imeharibika