Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Changamoto za mimba zinawagusa wote, nendeni mahispitalini mkajioneeToa ushuhuda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changamoto za mimba zinawagusa wote, nendeni mahispitalini mkajioneeToa ushuhuda.
Hawa wanakuwa washatoa mimba sana pamoja na kutumia dawa aina kadhaa za kuzuia ujauzito hadi kizazi kimepwaya au kuharibikaKwaiyo makurumbembe ndio hazishiki maana kizazi kiko mbali 😂
Mbona na nyie mnatusema kausha damu 😂Kila kukicha nyuzi ni za kutusema na kutufanya tujione hatuna haki hata ya kuwa humu JF, lol!
Wanawake wenye njaa kali hata awe Menopause anashika mimba. Yaani hata ukilala ukaota umefanya naye ngono bila kinga akijua uliota mimba inashika.Sababu kuu ni age factor. House girl anakuwa na umri mdogo. Kizazi kiko karibu. Binti yoyote under 20s. Ukimwaga ndani tu mimba anashika fasta fasta
Hii ni kitaalamu zaidi.Mimba za maskini zinabebwa wadada wakiwa wadogo hawajajanjaruka.. mimba za matajiri wanazibeba wadada wakiwa wakubwa wakubwa washakuwa wajanja.
Mimba kwenye tumbo la early 20s kuharibika ni ngumu sana.. tofauti na mimba ya late 20s ama 30s.. kidogo tu imeharibika
Hii ni kitaalamu zaidi.
Na kwenye hiyo age ya15 hadi 20's mabint wanakua hawana haja na sponsors wanataka mikuyati tu na mapenzi ya kudanganyana na madogo wenzao.
Akifika 24 huko anashtuka kua anapoteza muda, anatafuta jibaba, jibaba linatwika na kutwika binti hadaki mimba.
Hahahahaha.Wanawake wenye njaa kali hata awe Menopause anashika mimba. Yaani hata ukilala ukaota umefanya naye ngono bila kinga akijua uliota mimba inashika.
Tuhamie wapi Sasa kaka maan sio kwa balaa hili. ila hapa tupo 50/50 matajiri na maskin sema uongo mwingi. Mbona hapa wavimba macho tupo wengi sana.Masikini tunaandamwa sana humu.
Kama hivyo basi tafuta mbili kwa pamoja🤣Kuna muda mdada anatumia mbinu za kivita kumtega tajiri kihisia ili amnase. Na akimnasa anatumia njia za Cuba kumuweka tajiri kwapani.
Ikitokea mdada kadaka ujauzito wa tajiri hutamani kumzalia mtoto tajiri ili atoboe kama Jacqueline Mengi. Lkn bahati mbaya mimba nyingi za matajiri huchomoka hata kwa kujinyoosha maungo tu.
Mimba ambazo wadada wanakuwa wamebebeshwa na walalahoi huwa hazisumbui na kamwe hazitoki hata itokee ajali ya kuangukiwa na ukuta.
Wanaume maskini huwa wana nini lakini?
siongei kwamba mimi ni tajiri, ila mimba zote za mke wangu huwa inasumbua kuanzia inavyoingia hadi miezi saba, kudeka, kuugua,kutapika, shida tupu. ila ndugu zangu kule bush utawakuta wana mimba na wamebeba kuni na furushi la viazi na mimba haichoropoki. kuna mmoja alishawahi kujifungulia porini peke yake ameenda kuchanja kuni.Kuna muda mdada anatumia mbinu za kivita kumtega tajiri kihisia ili amnase. Na akimnasa anatumia njia za Cuba kumuweka tajiri kwapani.
Ikitokea mdada kadaka ujauzito wa tajiri hutamani kumzalia mtoto tajiri ili atoboe kama Jacqueline Mengi. Lkn bahati mbaya mimba nyingi za matajiri huchomoka hata kwa kujinyoosha maungo tu.
Mimba ambazo wadada wanakuwa wamebebeshwa na walalahoi huwa hazisumbui na kamwe hazitoki hata itokee ajali ya kuangukiwa na ukuta.
Wanaume maskini huwa wana nini lakini?
Kijijini wanawake wengi tu hujifungulia shambani wakiwa wanalimakuna mmoja alishawahi kujifungulia porini peke yake ameenda kuchanja kuni.
HahahahahahaHata kwa wanawake. Unaweza kuwa na mwanamke mtoto wa ushuani unampenda kweli unatamani akuzalie muendeleze ukoo wenye fedha, unafanya nae kila siku mimba haishiki. Mguse mfanya kazi wako wa ndani sasa hata bahati mbaya tu, mapacha hawa hapa.
Utajua hujui.Hata kwa wanawake. Unaweza kuwa na mwanamke mtoto wa ushuani unampenda kweli unatamani akuzalie muendeleze ukoo wenye fedha, unafanya nae kila siku mimba haishiki. Mguse mfanya kazi wako wa ndani sasa hata bahati mbaya tu, mapacha hawa hapa.
🤣🤣🤣🤣Kuna muda mdada anatumia mbinu za kivita kumtega tajiri kihisia ili amnase. Na akimnasa anatumia njia za Cuba kumuweka tajiri kwapani.
...
🤣🤣🤣🤣🤣 Nimechoka sanaMasikini tunaandamwa sana humu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna muda mdada anatumia mbinu za kivita kumtega tajiri kihisia ili amnase. Na akimnasa anatumia njia za Cuba kumuweka tajiri kwapani.
Ikitokea mdada kadaka ujauzito wa tajiri hutamani kumzalia mtoto tajiri ili atoboe kama Jacqueline Mengi. Lkn bahati mbaya mimba nyingi za matajiri huchomoka hata kwa kujinyoosha maungo tu.
Mimba ambazo wadada wanakuwa wamebebeshwa na walalahoi huwa hazisumbui na kamwe hazitoki hata itokee ajali ya kuangukiwa na ukuta.
Wanaume maskini huwa wana nini lakini?