Mimba ya tajiri ukijinyoosha mgongo tu inatoka. Lakini ukibeba ya mlalahoi hata uangukiwe na ukuta haitoki

Mimba ya tajiri ukijinyoosha mgongo tu inatoka. Lakini ukibeba ya mlalahoi hata uangukiwe na ukuta haitoki

Kuna muda mdada anatumia mbinu za kivita kumtega tajiri kihisia ili amnase. Na akimnasa anatumia njia za Cuba kumuweka tajiri kwapani.

Ikitokea mdada kadaka ujauzito wa tajiri hutamani kumzalia mtoto tajiri ili atoboe kama Jacqueline Mengi. Lkn bahati mbaya mimba nyingi za matajiri huchomoka hata kwa kujinyoosha maungo tu.

Mimba ambazo wadada wanakuwa wamebebeshwa na walalahoi huwa hazisumbui na kamwe hazitoki hata itokee ajali ya kuangukiwa na ukuta.

Wanaume maskini huwa wana nini lakini?
Mbegu zetu mafukara zina NTA, zikiingia kwenye yai zinanasa kama ruba. yaani mzigo umezingirwa na gundi ya lami
 
Mimba za maskini zinabebwa wadada wakiwa wadogo hawajajanjaruka.. mimba za matajiri wanazibeba wadada wakiwa wakubwa wakubwa washakuwa wajanja.

Mimba kwenye tumbo la early 20s kuharibika ni ngumu sana.. tofauti na mimba ya late 20s ama 30s.. kidogo tu imeharibika
Ina ukweli Fulani DR Mambo Jambo
 
Back
Top Bottom