Mimba ya tajiri ukijinyoosha mgongo tu inatoka. Lakini ukibeba ya mlalahoi hata uangukiwe na ukuta haitoki

Sababu kuu ni age factor. House girl anakuwa na umri mdogo. Kizazi kiko karibu. Binti yoyote under 20s. Ukimwaga ndani tu mimba anashika fasta fasta
Wanawake wenye njaa kali hata awe Menopause anashika mimba. Yaani hata ukilala ukaota umefanya naye ngono bila kinga akijua uliota mimba inashika.
 
Hii ni kitaalamu zaidi.

Na kwenye hiyo age ya15 hadi 20's mabint wanakua hawana haja na sponsors wanataka mikuyati tu na mapenzi ya kudanganyana na madogo wenzao.

Akifika 24 huko anashtuka kua anapoteza muda, anatafuta jibaba, jibaba linatwika na kutwika binti hadaki mimba.
 

Miaka 24 binti bado mdogo. Mayai yana nguvu. Mimba zinasumbua mabinti kuanzia miaka 28 kwenda juu
 
Kama hivyo basi tafuta mbili kwa pamoja🀣
 
siongei kwamba mimi ni tajiri, ila mimba zote za mke wangu huwa inasumbua kuanzia inavyoingia hadi miezi saba, kudeka, kuugua,kutapika, shida tupu. ila ndugu zangu kule bush utawakuta wana mimba na wamebeba kuni na furushi la viazi na mimba haichoropoki. kuna mmoja alishawahi kujifungulia porini peke yake ameenda kuchanja kuni.
 
Hata kwa wanawake. Unaweza kuwa na mwanamke mtoto wa ushuani unampenda kweli unatamani akuzalie muendeleze ukoo wenye fedha, unafanya nae kila siku mimba haishiki. Mguse mfanya kazi wako wa ndani sasa hata bahati mbaya tu, mapacha hawa hapa.
Utajua hujui.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…