Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Si kwa ubaya, ni katika kumsaidia Diamond asiingie katika chama cha kutunza watoto wasio wao kwenye ndoa (CCWN). Naamini kama zoezi litafanyika kupima DNA ya mwanao unaweza poteza ndoa yako na kubaki bachela milele, si mbaya kuulizana hili kwa wale wanaozaa kabala ya ndoa.
Naamini na nawatakia maisha mema mapya aijalishi mtoto wa nani anakuja tumeumbwa kulea, wish you the best family, best baby boy
Kauli ya Wema kwenye hili
Naamini na nawatakia maisha mema mapya aijalishi mtoto wa nani anakuja tumeumbwa kulea, wish you the best family, best baby boy
Kauli ya Wema kwenye hili
Ila Wema ameshakanusha hizi habari
![]()