Mimea ina masikio?

Mimea ina masikio?

Hata wanyama pia! Mfano Ukiona nyoka, panya ukisema nyokaa, panya huyo anakimbia
Ila ukisema mdudu huyo na yeye anasimama kumtafuta huyo mdudu.
 
mahindi yangu shambani hua nayanenea mema sana,lakini mda mwingine naambulia patupu
 
Sio inamaaikio Bali ni kuwa kunywa chako kina nguvu ya kuumba lolote ulisemalo, na hii ni kwa kila kitu... Iwe watoto, ndoa, biashara nk. Unaweza kuumba vile utakavyo, ukitamka Milana kichwa cha ummba, ukitamka Baraka vilevile... Kazi kwako sasa[emoji120][emoji120]
Umemaliza kila kitu mkuu. Uzi ufungwe sasa..[emoji28]
 
Nilisimuliwa na ifumu" wasaidizi wa chifu" kuwa huko nyuma,mtu anaweza kumuua mtu akiwa peke yake msituni,migombani n.k
Asub ikikutwa maiti lile eneo, na sababu hawajui ni nani, machifu walikuwa wanafanya ibada Fulani na kuiuliza mimea ya pale iwaambie ni nani kafanya , maana ilishuudia! Na walikua wanapata majibu.
 
Hizo ni myths tu; Hamna lolote. Kisayansi hamna kitu km hicho. Km Mwanataalamu wa Sekta ya Kilimo, nimesoma issue za Plant Botany, Plant Physiology, Crop physiology. Lkn sijawahi kusikia kitu km hicho [/B]

Huu ndio USOMI UCHWARA ninaoukataa kila siku?

Kitu kama HUKIFAHAMU kwanini usiwe mpole na ukakubali kwamba WEWE NI MJINGA ili uweze KUJIFUNZA ZAIDI?

Na nikueleze tu, hiyo BOTANY YAKO ni uchafu mtupu, kuna mengi ambayo huyajui na unatakiwa kukaa kitako ujuzwe na wajuvi.

Oohhh mi nimesomea BOTANY!!! ZUMBUKUKU!!!!

Hata DR Mambo Jambo ananielewa kwenye hili. Hatutaki wasomi uchwaraaaaah!

Samaleko.
 
Huu ndio USOMI UCHWARA ninaoukataa kila siku?

Kitu kama HUKIFAHAMU kwanini usiwe mpole na ukakubali kwamba WEWE NI MJINGA ili uweze KUJIFUNZA ZAIDI?

Na nikueleze tu, hiyo BOTANY YAKO ni uchafu mtupu, kuna mengi ambayo huyajui na unatakiwa kukaa kitako ujuzwe na wajuvi.

Oohhh mi nimesomea BOTANY!!! ZUMBUKUKU!!!!

Hata DR Mambo Jambo ananielewa kwenye hili. Hatutaki wasomi uchwaraaaaah!

Samaleko.
ok
 
Huu ndio USOMI UCHWARA ninaoukataa kila siku?

Kitu kama HUKIFAHAMU kwanini usiwe mpole na ukakubali kwamba WEWE NI MJINGA ili uweze KUJIFUNZA ZAIDI?

Na nikueleze tu, hiyo BOTANY YAKO ni uchafu mtupu, kuna mengi ambayo huyajui na unatakiwa kukaa kitako ujuzwe na wajuvi.

Oohhh mi nimesomea BOTANY!!! ZUMBUKUKU!!!!

Hata DR Mambo Jambo ananielewa kwenye hili. Hatutaki wasomi uchwaraaaaah!

Samaleko.
Mbona kama umepaniki sana? Ni post yake tu au kuna jambo lingine mnagombana na jamaa? Inaonekana hupendi wasomi kabisa?
 
Mbona kama umepaniki sana? Ni post yake tu au kuna jambo lingine mnagombana na jamaa? Inaonekana hupendi wasomi kabisa?
Nyie wasomi uchwara wa oya oya mnajifanya kujua wakati hakuna mnalolijua.

Ukishakariri vimisamiati viwili vya kigiriki na kutunukiwa DIPLOMA YA UBABAISHAJI basi huambiliki! Ati nimesomea BOTANY!!

Jifunze na uache makeke uchwara.
 
Nyie wasomi uchwara wa oya oya mnajifanya kujua wakati hakuna mnalolijua.

Ukishakariri vimisamiati viwili vya kigiriki na kutunukiwa DIPLOMA YA UBABAISHAJI basi huambiliki! Ati nimesomea BOTANY!!

Jifunze na uache makeke uchwara.
Mbona una hasira sana na wasomi. Shida ni nini? Hupaswi wachukia wasomi.
 
Nyie wasomi uchwara wa oya oya mnajifanya kujua wakati hakuna mnalolijua.

Ukishakariri vimisamiati viwili vya kigiriki na kutunukiwa DIPLOMA YA UBABAISHAJI basi huambiliki! Ati nimesomea BOTANY!!

Jifunze na uache makeke uchwara.
Mtoa hoja ana hoja
Hakuna kitu kama hicho ulichokisema.
Hakiwezekani kimantiki, kisayansi na Wala kifalsafa yoyote.

Ingekuwa kweli watu wasingepambana kununua pembejeo Bali wangelitafuta mghani mashairi hodari ili wapate mavuno bora.

BICHWA KOMWE kama unamuonea wivu mtaalamu wetu nenda nawe ukasome
 
Back
Top Bottom