Mimea tiba kupitia mimea ya majumbani

Ahsante mkuu kwa Kujitoa kwako
 
Tafuta chupa ya lita moja hata nusu lita , au vile vichupa vinavyouzwa vya maji, chukua Karafuu vijiko vitano au sita , weka na chumvi kiasi na kama una asali weka asali itakuwa bora zaidi ... Tumia kwa kuswakia Asubuhi na jion baada ya kula ...

Nyongeza ya maelezo :

ukichukua unga wa karafuu weka na chumvi kias

au kama una asali chukua unga wa karafuu changanya na asali ..

loweka kwa siku 7 siku ya nane anza kutumia kuswakia ...

Angalizo ili kuleta matokeo chanya Epuka matumizi ya dawa hizi zinazoitwa dawa za Meno
Harufu itaondoka

Ugonjwa wa Meno utabaki historia kwako
Maumivu ya kinywa , Utayasikia kwenye magazeti

Hii Ina uwezo wa kukaa miezi miwili mpaka mitatu bila kuharibika

NB: Nini kitatokea kama ukiamua kuacha kuswaki kwa toothpaste(dawa za mswaki za madukani) kuanzia leo??
Narudia tena ugonjwa wa Meno utabaki historia kwako , Maumivu ya kinywa , Utayasikia kwenye magazeti

Tunapendekeza uswaki kwa

✅JUISI YA KARAFUU
✅Mkaa
✅Majivu
✅Kitawi cha mkaratusi
✅Chumvi
✅Limao
✅Mmea unaoitwa Mswaki

WENGI NAJUA WATAULIZA JUU YA HII DAWA ...

JE TUNAWEKA NA MAJI ?..

MAJIBU : NDIO MAJI NI MHIMU. WEKA MAJI LITA MOJA AU NUSU LITA {VIUNGO KADIRIA KULINGANA NA KIASI CHA MAJI ULIYOWEKA} ILI MRADI TU IKOLEE...

KISHA MCHANGANYIKO WAKO UACHE KWA SIKU 7 , SIKU YA NANE ANZA MATUMIZI SASA..
 
KWA TATIZO LA MIPASUKO KWENYE MIGUU/MAGAGA WENGINE HUITA AU KWA KITAALAMU CRACKED HEELS and SCABIES... (ANGALIA PICHANI)

🍀 Chukua ule utandoutando wa kwenye shinda au mwembe (tazama pichani) kisha paka eneo lililoathirika mara mbili kwa siku kila siku baada ya kuoga.

🍀 Dawa nyingi za kizungu za kuzuia tatizo hili nyingi wanazitengeneza kutoka kwenye utando huo wa mwembe.Kuitumia katika ubichi wake inafanya kazi vizuri zaidi.
By Dr dogoli kinyamkela ☠️💀
Kwa mafunzo zaidi kalibu sana JIJINI WHATSAPP 👇🏽👇🏽

 
Mmea Mdogo Wenye Mambo Makubwa: Utumie kama chakula dawa ili uepuke kutumia dawa kama chakula!* KIVUMBASI

1. Huu mmea umesambaa Afrika nzima kwa majina tofauti:

Kanda ya Ziwa unaitwa Lumbalumba,
Nyanda za Juu Kusini wanauita Mnunganunga, Kilimanjaro wanauita Mnyenye,
Tanga ni Luvumbampuku,
Wahaya na Wanyambo wanauita Kashwagara, Kenya ni Kivumbani,
Uganda Mjajanuka,
Burundi agacaruzo,
Kongo Tolumbalumba,
Malawi Kavavumba,
Comoro wanauita Nkadi
na wengine wanauita Mwinula yaani uinuliwe.

2. Tumia huu mmea kama chai kila siku, au tafuna tu majani yake, au weka hata kwenye mboga, gonga, faida zake ni nyingi!

3. Wasukuma wanauitumia kutibu chango za watoto wadogo. Wanyambo hutumia kutibu tumbo linalovuruga na kuuma mara kwa mara).

4. Wazee ukiwa unatumia huu mmea kama kinywaji utasahau homa zote, mafua yote.

5. Ni mmea wenye nguvu ya kimungu. Wahindi na Bara la Asia wameupa heshima kubwa.

6. Wanauita Sacred plant (Mmea Mtakatifu), Mother Medicine of Nature (Mama wa Dawa za Asili), The Queen of Herbs (Malkia wa Mitishamba), The Incomparable One (Hakuna Mmea wa Kuulinganisha Nao).

7. Mmea huu ni tiba ya kifua, kata majani yake, tafuna. Unavidonda vya koo? Chukua majani yake, chemsha, sukutua imeisha.

9. Unastress, unaonekana kuchanganyikiwa, chukua majani hata 15, tafuna utarelax.

10. Kwa matatizo ya meno, harufu mbaya ya kinywa na fizi kutoa damu, kausha majani yake, twanga, tumia unga kupigia mswaki.

11. Una mafua makali? Chuma majani yake, yafikiche, weka puani baada ya dk 15 utapiga chafya sana, mafua kwaheri.

12. Ni dawa nzuri ya kufukuza mbu. Ng’oa nzima nzima na mizizi yake, weka ndani, mbu wanakimbia. Au pia choma majani yake kwenye moto, mbu kwaheri.

13. Kiboko ni hii hapa, chukua majani ya kivumbasi, weka kwenye ndoo ya maji, fikinya humo, oga, mwili unakaa sawa..

14. Muogeshe hata mwanao kabla ya kulala uone usingizi mtamu atakaopata. Jifukize pia utaona maajabu yake.

15. Maumivu ya hedhi, hedhi haitoki kwa wakati na ikitoka inatoka kwa muda mrefu? Chukua majani yake, fikicha kwenye maji, hakikisha maji yanadilika rangi, kunywa mara tatu kwa siku kwa muda wa siku tatu kisha leta ushuhuda mbuzi nile.

16. Tiba Ya Miguu Kuwaka Moto
Chukua majani ya mti wa Mvumbasi, unguza pamoja na majani ya mti wa mnungunungu, halafu changanya na mafuta ya taa lita moja. Matumizi: Utakuwa unatumia kujichua kwenye miguu kutwa mara tatu kwa muda wa siku thelathini.

17. Lakini pia Wazee wanasema ni dawa nzuri sana ya kuondoa gesi tumboni.

18. Kama vipi, fanya kivumbasi kuwa chai yako ya kila siku, au hata juisi. Hakuna hasara. Faida ni nyingi.

19 . Hutumika kwa magonjwa ya ini, moyo na mishipa ya damu. Huua virusi vya hepatitis vyote.

20 Kwa mtu anayesumbuliwa na tumbo la hedhi upate unga wa majani tumia kwenye maji moto ni tiba nzuri mara mbili kwa siku

21. Hutibu ugonjwa wa red eye Chemsha mvumbasi changanya na majani ya mbaazi hadi maji yawe ya kijani, acha ya poe baada ya hapo nawia uso kutwa mara tatu kwa siku tatu utakaa poa

22. Kwa wanaume Chukua majani ya mvumbasi +mchai chai + Tangawizi (kata vipande) + mdalasini .. Chemsha huo mchanganyiko na ndio iwe chai yako daima usiweke sukari , Msumari wako utasoma namba.

23 . Tiba kwa mtu aliyeingiwa utomvu wa minyaa chukua mbegu zake ukipikicha na kuziweka machoni .. utomvu wote wa mnyaa utakusanywa na kutolewa nje ya macho

24. Pia kama wewe ni mfugaji wa nyuki basi mmea huu hutumika kuhamishia nyuki kupeleka sehemu nyingine unayoitaka wewe

25. Pia kama unaishi mazingira yenye mbu tumia huu mmea kufagilia uwanja , Mbu wataondoka wote , au kata mmea weka dirishani , Aisee mbu na harufu ya mmea huu n maadui sana .. utalala unono

26. Kama wewe ni Mtalamu wa Kujamba sana, tumbo kujaa gesi tumia mmea huo chemsha kunywa glas moja mara mbili kwa siku

27. Tiba ya wagonjwa wa degedege

28. Kama Unajisikia homa chuma mmea huo , Chemsha kunywa mara mbili na kuogea utapona kabisa

29. Kama unasumbuliwa na vidonda vya koo, macho, kichwa, mafua, kifua, figo chukua majani tengeneza juice kunywa glasi moja asub na Jion

30. kama kuna kuku wanaumwa umwa sana we chukua ayo majani na miti yake fanya kama fagio na ufagie mahala wanapo lala, Angalizo kuku wa mienyeji sio hawa wa kizungu .

31. Kama una shida ya kupumua tafuta huu mmea kisha safisha chemsha kunywa mara mbili kwa siku kwa mda wa siku 14.

32. una pressure ya juu chumua mmea mzima chemsha kunywa mara mbili kwa siku 14 hadi 21 nenda kapume.

33Kama unataka kutunza ngozi yako basi majani yake yafanye yawe ndio majan y chai yako kila siku

ZIPO FAIDA NYINGI SANA KATIKA MMEA HUU NDIO MAANA HUITWA HOLY BASIL (Mmea Mtakatifu).

Ngoja Nimalizie

34. mbengu zake ni dawa nzuri sana ya watu wanaotoka damu puani unachukua unanusa tu hutapata huo ugonjwa tena

35. kama una kikohozi chukua majanj yake na majani ya mbaazi tafuna kwa pamoja siku tatu nyingi.
By Dr dogoli kinyamkela ☠️💀
 
Hakika Mwenyezi MUNGU akupe amani na rehema tele na akujalie Wepesi wa Maisha kama ulivyopata kutufunuwa kupitia kibali chake Yeye... Watakapokuambia maneno ya kejeli na Wala usithubutu kuwa jibu kwa miaka 17 iliyopita sikuwahi tumia dawa za kisasa na malaria iwe Tumbo au nini sikuwahi kuumwa Bali ni mimea uliyoiandika ilitusaidia sana
 
mkuu nna mpangaji wangu pisi kali haswaa, ila kauzu acheki na baba mwenye nyumba,nipe mbinu nimkule kaka,kodi atalipa tu hata akiliwa
 
Asante ndugu ubarikiwe
 
Chukua chura akiwa hai,mpasue kama unamfanyia operation Kisha weka kipande cha karatasi chenye jina la adui lililoandikwa mara Tisa KWA wino mwekundu , pilipili mbuzi ya unga,vumbi la chuma kisha mshone bado akiwa hai alafu muweke juani akauke baada ya siku tisa mchukue alafu kamfukie kwenye kaburi,kwisha habari yake

Pia unaweza tu ukachukua Unga wake baada ya kumuanika kisha ukaficha kwenye kucha yako ndefu alafu ukamuwekea kwenye kinywaji.
 
Tiba ya uchawi wa kulishwa chura basi chukua maziwa fresh au mafuta ya mzeituni kisha chemsha alafu weka kwenye jagi kisha chukua sarafu tatu za silver kisha zichune alafu weka unga wake Kwenye hilo jagi alafu mpe mgonjwa kila asubuhi.
By Dr dogoli kinyamkela ☠️💀🔥🔥
 
LIMBWATA HILI MAJIBU YAKE NI SIKU MBILI BAADA YA KULIFANYA , UKISHINDWA KUFANYA WEWE NAWEZA KUKUFANYIA MIMI UNANILIPA 🥰

umeachwa bado una mapenzi na mwenzio?? 🙃 Basi nakuletea limbwata konki motoo🔥🔥 usimruhusu akuumize Sana mtulize akusikilize
MLILIWA 🌿
Hii Ni dawa inapatikana maduka ya dawa asili👌 zingatia nitakachoeleza hapa na uelewe Kama hutaelewa nifate inbox.
Chukua MLILIWA ,karafuu MAITI,peni nyekundu,karatasi nyeupe(plain paper) udi wa kijiti na kitambaa cheupe robo mita😍
Hatua ya (2)
Chukua peni na hiyo karatasi nyeupe andika Jina la muhusika fulani bin fulani (andika unachotaka we tiririka tuuu) kisha pukuchua hiyo karafuu MAITI iweje kwenye hiyo karatasi hapo ulipo andika kisha weka na hiyo dawa (MLILIWA) funga vizuri karatasi yako ikiwa na dawa hivyo hivyo
Hatua (3)
Chukua hiyo karatasi ikiwa imefungwa vizuri na dawa ndani yake ifunge vizuriiii na hicho kitambaa ulichofanya nunua Kisha washa udi wako kifushe hicho kitambaa kikiwa hivyo hivyo kimefungwa huku unaendelea kunuia Mambo yako ukimaliza Zima udi wako hapo bomu tayari💪 hatua ifuatayo Ni ngumu Ila ndio hatua ya mwisho
Hatua ya (4)
Nenda makaburini tafuta kabuli la shahidi utachimba kishimo kidogo tuu kulingana na hilo fundo lako huku ukisema hivi fulani bin fulani nauzika Moyo wako hapa Kama marehemu huyu alivyo liliwa na ndugu na Kanaän zake basi nawe uje mwenyewe Tena ukinililia Mimi Kama marehemu huyu alivyo lala na asiamke hapa Hadi kiama nawe Moyo wako ufe kwangu Hadi siku yako ya mwisho...fukia bomu lako Kisha chomeka udi hapo kaburini uache ikiwa unawaka ondoka usigeuke nyuma

UKITAKA KUFANYIWA NIONE INBOX +255 625535964 ASANTENI NA KILA LAKHERI
NB: Wakati unafanya hakikisha mwili wako msafi hauna vifungo(nuksi).
By Dr dogoli kinyamkela ☠️💀🔥🔥

Masomo haya yanaendelea uko JIJINI WHATSAPP 👇🏽👇🏽

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…