Mimea tiba kupitia mimea ya majumbani

Mimea tiba kupitia mimea ya majumbani

MFUMO WA UMEME WA UUME WA MWANAUME.

Kwenye kielelezo picha ni mchoro wa mfumo wa umeme wa Uume wa Mwanaume hii ndo heshima ya Mwanaume na ndo System inayomuwezesha SELEMANI kumtaka B-AISHA wake.

Sasa basi fahamu kuwa👇

Huu ndio mfumo wa UMEME ambao Wanaume wengi hawaujui kama wanao SWITCH ya huu mfumo ipo kwenye UBONGO nakushitua ujue na kufahamu.

Ndio maana ili upate hisia za mapenzi lazima ubongo uwe free kwa maana ubongo huwa unahitaji nafasi ya kuwa huru usibughudhiwe.

Mwanaume hupaswi uwe na msongo wa mawazo ( Stress ), Ni ngumu sana huu mfumo wa umeme wa Uume kufanya kazi yake vizuri kama mwili wako hauna Madini joto ya kutosha.

Ndio maana unashauriwa kupata au kula vyakula vitakavyo free up radicals, kukata mafuta ambayo hujaa kwenye mshipa huu wa umeme na Damu kushindwa Ku-Flow vizuri.

Jambo jingine kubwa na la maana zaidi ni Mwanamke kupunguza maswali mengi yanayo kinzana na mfumo huu wa Umeme na wa kihisia kwa Mwanaume.

Maswali ya Siku hizi Nyumbani pamekuwa polisi?.
Siku hizi haupo kama zamani umepunguza upendo.
Siku hizi tumekuwa hatuna umuhimu kwako.

Kuwa problem solver na Usiwe Questions makers
Kuwa problem solver na usiwe Problem creates

Ukiwa na maswali ya kusolve na kumaliza Migogoro Mwanaume huyu hatokaa awe adui yako milele hata awe na makandokando mengi aje.

Mfumo huu wa Umeme wa Mwanaume unahitaji Mwanamke mwenye uwezo wa kuelewa Contact of code ya mumewe ipoje.

Mwelewe Vizio vyake vya kuwasiliana huwa vinakuwaje ili usije kumvuruga fuata utaratibu wake.

Mfumo huu unahitaji Mwanamke aijue Lugha bora ya kuwasiliana na Mumewe anapoona anazembea ( Communion Skills ) awe nayo.

Naam hapa tunamaanisha ulimi wako uwe mwepesi na laini na uwe na uwezo wa kuchambua neno la kusema na la kuacha.

Mfumo huu hauhitaji kukurupushwa yaani Unahitaji ukweli na uhakika wa Malalamiko ya Mwanamke kwenda kwa Mwanaume ukicheza basi Mwanaume hupunguza hisia kwako na kumpa mwengine.

Ndomaana unafumania vimeseji vya Mapezi kwenye simu ya Mumeo na Anasifiwa amewafurahisha huku kwako wakati huwa unapambana kuifanya Isimame.

Mfumo huu kifupi unahitaji Amani ya Moyo ya Mwanaume ukitaka ashindwe Ku-Elect vizuri endelea kuwa na kamdomo na kumpa Stress mbona utaisoma.

Ili usimame na Uwe ngangari ukupe raha na Burudani ya Akili na Moyo wako basi Mpe chakula bora every single Day huyu Mbaba wako na hakikisha anakuwa huru kimawazo zile stress za yeye kujitakia huwa haziathiri mfumo huu.

Asalamalekhum
Bwana wetu Yesu Asifiweee
Hi Tuesday my follower

1739294782115.jpg
 
DAWA ASILI MUHIMU NAWAZAWADIENI LEO
Mmea huu ni mgumu sana kung'oa na nadhani wengi tunaujua au tumeshawahi kuuona.sijui kiswahili chake.

Huu mmea

✅Chai ya mizizi yake inaongeza nguvu za kiume

✅Ukiponda majani yake kwa kuchanganya na kitungu swaumu ni dawa ya jipu

✅Chai ya majani yake inasaidia mwanamke kujifungua haraka bila maumivu makali sana

✅Chai ya mmea huu ni nzuri kwa mwanamke ambaye uzazi umegoma. Kunywa hii kwa siku 5 kuanzia unapoona damu ya hedhi
Mungu atajaalia

Je umeutambua mmea huu?
Unajua niini kuhusu huu mmea kwa zaidi ya niliyoyaelezaa?
Kwa kilugha chenu unaitwaj ?

👆👆👆👆👆👆👆
1739295149032.jpg

Falsafa , code 2️⃣5️⃣5️⃣ 🇹🇿Fire's 🔥 antibiotics 💦
 
Changanya malimao 3

Malimao unayatayarishaje ili uyachanganye na mbegu za papai?
Tokea nianze nimetoa masomo meeeng unapo uliza fafanua Ili nikumbuke SoMo unapo uliza Kwa short cut nashindwa kukusaidia mkuu
 
Warning Usipokula chakula kama dawa jua tuu utakula Dawa kama Chakula

Hizi MBEGU za Papai zinatibu mambo MENGI sana zitumie mjukuu wangu usizitupe kuanzia leo

FAIDA YAKE NI HII

1. TIBU TYPHOID
2. TIBU INI
3. VIDONDA VYA TUMBO
4. MMENG'ENYO WA CHAKULA
5. ONDOA SUMU MWILINI
6. NGOZI YENYE MVUTO
7. MIFUPA IMARA
8. ZUIA UZEE
9. UGUMBA
10. HEDHI POA

Namna ya kuandaa 👇🏽👇🏽

Namna ya kuandaa ni rahisi sana.

.Kausha mbegu
.saga mbegu

Weka maji kiasi kama Lita Moja.

Changanya malimao 3.

Tulia ipoe.

Kunywa asubuhi na mapema kabla hujala.
Kunywa usiku ukiingia kitandView attachment 3233460ani

🔥🔥🔥
Kwenye tiba ya haya magonjwa kama ulivyoyataja hapo juu naomba kujua malimao unayatayarishaje ili uyachanganye na mbegu za papai?
 
Tatizo la wauza mitishamba hawakwambii dawa inafanyaje kazi na hiyo dawa hasa ni nini (active ingredient) haya mambo ya kula tu mitishamba inasababisha sana matatizo hasa kwa mama wajawazito , watoto wanazaliwa matahira
 
KUUNDA PEPO KUPITIA PUNYETO NA UASHERATI

Wakati mtu anatoa mbegu bila sababu matone hayo ya mbegu hutoka na kupaa hewani.

Matone hayo hayaingii kikoa takatifu, na hazipati mahali pazuri.

Badala yake, zinatangatanga bila kusudi, na kuunda viumbe vya uharibifu ambavyo vinazurura ulimwengu.

Roho hizi zipo katika hali isiyokamilika, sio katika ulimwengu huu wala ijayo.

Wakati mtu aliyewaumba anaondoka kutoka kwenye ulimwengu huu, wanakuja mbele yake na kumshtaki, akisema:👇👇

Hautupi mwili, hakuna mahali, hakuna kusudi. Sasa tutashuhudia dhidi yako.

Kila tone la mbegu ambalo mtu hutoka vibaya hutengeneza roho za uharibifu ulimwenguni.

Roho hizi huzunguka na kuonekana mbele ya Mtakatifu, abarikiwe yeye.
Wanamwambia: Hatuna mwili na hakuna mahali pa kwenda.

Wanatangatanga ulimwengu na kuleta uchafu juu yake.

Na mtu anapoondoka kutoka kwa ulimwengu huu, roho hizi zinakuja kwake na kutoa ushahidi dhidi yake, na kumletea adhabu katika ulimwengu ujao.

Roho hizi zinajishughulisha na uchafu, KUUNDA nguvu kutoka kwenye vikosi vya upande mwingine .

Wanashikamana na maeneo ya uchafu na kupata riziki katika dhambi za wanadamu, na kusababisha watu kupotea zaidi.

Hii ndio sababu mwanaume lazima awe mwangalifu na mbegu yake, asije akaunda vikosi ambavyo vinamdhuru katika ulimwengu huu na mwingine.
1739595466687.jpg
 
DAWA ASILI MUHIMU NAWAZAWADIENI LEO
Mmea huu ni mgumu sana kung'oa na nadhani wengi tunaujua au tumeshawahi kuuona.sijui kiswahili chake.

Huu mmea

✅Chai ya mizizi yake inaongeza nguvu za kiume

✅Ukiponda majani yake kwa kuchanganya na kitungu swaumu ni dawa ya jipu

✅Chai ya majani yake inasaidia mwanamke kujifungua haraka bila maumivu makali sana

✅Chai ya mmea huu ni nzuri kwa mwanamke ambaye uzazi umegoma. Kunywa hii kwa siku 5 kuanzia unapoona damu ya hedhi
Mungu atajaalia

Je umeutambua mmea huu?
Unajua niini kuhusu huu mmea kwa zaidi ya niliyoyaelezaa?
Kwa kilugha chenu unaitwaj ?

👆👆👆👆👆👆👆
View attachment 3233705
Falsafa , code 2️⃣5️⃣5️⃣ 🇹🇿Fire's 🔥 antibiotics 💦
Huu mmea kama sikosei unaitwa Mfagio; botanical name ni sida acuta

1739646275321.png
 
Waambie Mimi ni mchawi siui watu wala sili nyama ya mtu😀

Mimi ni mchawi naiomba asili nakuiheshimu mizimu na mila za kiafrika.

Najivunia kuwa mchawi , kwani mchawi ni mwanasayansi wa kiroho anayeijua dunia .

Mimi mchawi na amini malipo ni hapa hapa duniani ,ukifa mwingine anazaliwa na maisha yanaendelea 😀😀😀😀
BRAZA CHOGO Tumwesige senior
1739823730344.jpg
 
Back
Top Bottom