Mimea tiba kupitia mimea ya majumbani

Mimea tiba kupitia mimea ya majumbani

IMG-20250210-WA0343.jpg
 
Ukiona mambo yako yamejifunga ya utafutaj au ktk biashara zako au katika kaz zako ww tafuta mti huu wa kivumbasi wengi hupenda kuita mwinura yani muinua mambo kausha saga au nenda maduka asili nanunue ulio sagwa kisha tumia kuoga na kuchoma tena chemsha ndio vzr kisha oga tumia siku 7 na kuendelea kwa siku mara moja nakwambia kuanzia siku ulio oga tu utaanza kuona mrejesho
IMG-20250210-WA0448.jpg
 
kivumbasi

kwa mwenye maradhi ya kipanda uso
Chukua majani ya kivumbasi yaponde kisha kamua Maji yake utajipaka kichwani shida hii itaisha Inshaallah

•Kubanwa na kifua au shida ya upumuaji
chukua majani ya kivumbasi na ndimu ambayo iko vilevile haijakatwa utachemsha pamoja utakuwa unakunywa kwa ujazo wa kikombe kidg cha chai kutwa ×2 siku 3
•PRESHA YA MAJINI yani wale wako na presha hadi 200 halfu wanafagia na kupika
Chukua majani ya kivumbasi na punje za vitunguu thaumu punje 11 au 21 utasaga kwenye Brenda kama juice kisha utaichuja kama utakuwa ni mtu wa imani ya kiislam isomee dawa hii aya za ruqya kam unaweza LA sio muislam basi utakunywa hivyo hvyo na hakuna tabu
Tumia glass asubh na nyngine jioni siku3
IMG-20250210-WA0450.jpg
 
kivumbasi


Chukua majani ya kivumbasi yaponde kisha kamua Maji yake utajipaka kichwani shida hii itaisha Inshaallah

•Kubanwa na kifua au shida ya upumuaji

•PRESHA YA MAJINI yani wale wako na presha hadi 200 halfu wanafagia na kupika
Chukua majani ya kivumbasi na punje za vitunguu thaumu punje 11 au 21 utasaga kwenye Brenda kama juice kisha utaichuja kama utakuwa ni mtu wa imani ya kiislam isomee dawa hii aya za ruqya kam unaweza LA sio muislam basi utakunywa hivyo hvyo na hakuna tabu
Tumia glass asubh na nyngine jioni siku3View attachment 3232556
Hii 👆 👆nzuri sana mkuu.:HYPERCLAPHD:
 
Mmea ni majabu ya Mungu kwetu .

Mmea hapo kwenye picha :

🥬Kisukuma unaitwa Mjorwambogo.
🥬Kikamba unaitwa Ithaa.
🥬Kikikuyu unaitwa Mwino au mwinu.
🥬Kijaruo unaitwa Ovino au owinu.
🥬Kimeru unaitwa Kirao au Murao.
🥬Kitaita unaitwa Mbinu au Mshua.
🥬Kiiraq unaitwa Nkharerei.
🥬Kihehe huitwa Mulimuli.
🥬Kisambaa huitwa Mzangazi.

Kuhusu matibabu :

🥬 Huo mti hutibu magonjwa ya ini...
🥬Hutibu vidonda vya tumbo. Hutibu malaria, typhoid na ameba.
🥬Hutibu kisonono. Huondoa sumu zote mwilini na kupunguza mafuta.
🥬Mtidawa huu hushusha shinikizo la damu yaani presha ya kupanda.
🥬Hutibu chlamydia. Hutibu magonjwa ya mifupa. Magonjwa yote ya mfumo wa uzazi wa mwanamke hutibiwa na mti huu...
🥬Mti huu humwezesha mwanamke kushika ujauzito ikiwa hajakoma hedhi.Hii hufanyika kwa kuondoa uvimbe wowote kwenye mfumo wa uzazi, ini, bandama, figo, kusafisha kizazi, kurutubisha mayai na kuongeza uwezekano wa kupata ujauzito

🥬 Mti huu hurudisha mzunguko wa hedhi na kuuweka uwe sawa ikiwemo kuondoa maumivu kipindi cha hedhi...
🥬Mti huu huondoa uvimbe wa aina yoyote ndani ya mirija ya uzazi, ovari, uterus au kizazi kwa muda wa wiki tatu tuu..

NAMNA YA KUTENGENEZA

🥬Chukua majani yake. Hakikisha huchanganyi na mbegu zake. Chukua majani tuu. Chukua mengi kadri uwezavyo. Yaanike mahali safi ndani, Yasambaze kabisa. Baada ya siku tatu kama mahali hapo pana joto la kutosha (hapo ndani na siyo nje kwenye jua) yatakauka.Saga ili kupata unga laini, Waweza kusaga hata kwa kufikicha tuu kwa mkono. Ni malaini na yanasagika kwa haraka mno ikiwa yamekauka vizuri. Waweza kusaga kwa kutumia brenda pia...

NAMNA YA KUTUMIA

🥬 Isipokuwa ugonjwa wa kisonono, tumia kijiko kidogo ndani ya maji ya moto nusu kikombe cha chai asubuhi na jioni kwa muda wa week mbili. Baada ya hapo, nenda ukapime hutaona kitu.

🫐Kumbuka: Mtidawa huu utakufanya uharishe kama mara tatu kila unapokunywa. Kadri tatizo linavyoendelea kuisha mwilini, kuharisha nako kunapungua na mwisho kupotea kabisa. WagonjwaView attachment 3225379
Saws
 
TIBA YA KIDONDA SUGU KISICHOSIKIA DAWA HATA KIDONDA CHA KISUKARI TUMIA DAWA HII.

Chukua mizizi ya huo mmea anika juani ikikauka saga upate unga wake halafu utakuwa unaweka kwenye kidonda chako kutwa mara 2 ndani ya siku 7-14.

Hata kama kidonda ni chamda mrefu utapona haraka S
1739275338657.jpg
ana.
 
MALIZA MAWE KWENYE FIGO, JITIBU TEZI DUME KEA KUNYWA HII JUICE KWA SIKU 14

Chukua nyanya Moja

Maji ya Dafu

Weka kwenye blenda Saga vizuri

Hamishia kwenye glass Kisha kunywa

Huu mchanganyiko ni mzuri saaana una madini mazuri yenye uwezo WA kusafisha figo vzr na Kwa UHARAKA zaidi kama haujafika katika hatua mbaya

Je utajuaje una shida ya FIGO katika hatua za awali? Somo litakujia kesho

Jitibie nyumbani hospital zipo Kwa watu wasiojua miti ya asili na asili ya mtu mweusi ni HAYO tuu.
BRAZA CHOGO Tumwesige senior

Pia kalibu sana jijini wasap

1739277693200.jpg
 
Kwa WAJAWAZITO👇

Karoti unaweza kutumia kutafuna mbichi, kama kiungo cha mboga pia unaweza kusaga kama juisi vyote sawa tu.

Kutafuna ni nzuri zaidi ikifuatiwa na kusaga juisi kwani husaidia 👇

1. Huimarisha afya ya macho.
2. Huongeza kinga ya mwili (immunity booster).
3. Kuimarisha afya ya fizi na meno kwa WAJAWAZITO wanaoumwa meno hadi kufikia kuwaza kung'oa meno hii inawafaa zaidi.
4. Inasaidia afya ya ngozi ya mtoto tumboni na hata mama mjamzito.
5. Hutibu kansa ya damu yaani leukaemia.
6. Hutibu presha kipindi cha ujauzito.

Faida namba ngapi imekuvutia zaidi wewe?.
1739278011179.jpg
 
KAMA WEWE NI CHA POMBE NA UNAHITAJI KUACHA POMBE DAWA HII HAPA

Tafuta kituunguu chekundu red onions

Kata kata vipande

Tafuta bia uipendayo

Mimina kwenye glass mix na vile vitunguu

Weka katika fridge ilale Hadi kesho yake

Kunywa bia Yako masaa 24 baadae

Kitakachotokea utatapika balaa matapishi yenye harufu itakayokuondolea hamu ya bia maisha Yako yote

Najua Kuna mjukuu wangu hajapenda ugunduzi huu WA dawa hii muhimu ila kuliko ulewe uanguke kwenye mitalo ujikojolee ni Bora unywe hii dawa

Kuliko unywe umalize Hadi pesa za Ada ni Bora unywe hii dawa ili kiu ya pombe ikuondoke

Hii dawa ndiyo nilimtengenezea Piele Liquid Hadi leo ameacha pombe

Kazi kwenu dawa nimewaekekeza alafu niwakute mnayumba njiani bila utulivu kama Kasongo
1739278190414.jpg
ni mwendo WA fimbo tuu
 
Majani ya machungwa hutibu..

🌿kukosa usingizi
🌿Upungufu wa nguvu za kiume
🌿malaria
🌿kipandauso
🌿wasiwasi
🌿Cholesterol nyingi
🌿Kinga ya chini
🌿maumivu ya hedhi

Chemsha majani mabichi/makavu ndani ya maji na unywe kikombe cha chai mara mb
1739278547604.jpg
1739278550836.jpg
ili kwasiku
 
Warning Usipokula chakula kama dawa jua tuu utakula Dawa kama Chakula

Hizi MBEGU za Papai zinatibu mambo MENGI sana zitumie mjukuu wangu usizitupe kuanzia leo

FAIDA YAKE NI HII

1. TIBU TYPHOID
2. TIBU INI
3. VIDONDA VYA TUMBO
4. MMENG'ENYO WA CHAKULA
5. ONDOA SUMU MWILINI
6. NGOZI YENYE MVUTO
7. MIFUPA IMARA
8. ZUIA UZEE
9. UGUMBA
10. HEDHI POA

Namna ya kuandaa 👇🏽👇🏽

Namna ya kuandaa ni rahisi sana.

.Kausha mbegu
.saga mbegu

Weka maji kiasi kama Lita Moja.

Changanya malimao 3.

Tulia ipoe.

Kunywa asubuhi na mapema kabla hujala.
Kunywa usiku ukiingia kitand
1739284891487.jpg
ani

🔥🔥🔥
 
Back
Top Bottom