Mimea tiba kupitia mimea ya majumbani

Mimea tiba kupitia mimea ya majumbani

Changanya damu ya chura na mafuta ya nguruwe kutibu ugonjwa wa bawasili

1740402685887.jpg
 
TUANGALIE TIBA YA KUTOSIKIA VIZURI/
UDHAIFU WA KUSIKIA,.Chukua vitunguu maji 🧅🧅🧅vikubwa 3 twanga mpaka upate juisi yake,.usitie maji,yani kiwe kitunguu tu,.utakuwa wadondoshea tone 1 kila sikio fanya 1X3 mpaka upone tiba hii ni mujarabu imeponya wengi

INSHAAALLAH ❤️ NASUBIRI MREJESHO
IMG-20250224-WA0005.jpg
 
Chukua mavi ya ng'ombe ,lowesha ili yalainike ,kisha chukua karatasi na andika jina lake mara tisa alafu paka hayo mavi kwenye hiyo karatasi na iache hapo kwa siku tisa kisha nenda kazike baada ya siku tisa.
By Dr dogoli kinyamkela ☠️💀🔥🔥
1740404919168.jpg
 
Si unapenda umbeya 😸😸😸

Basi amka usiku wa manane kisha jipake damu ya paka iliyochanganywa na kisamvu mpira pamoja na majani ya mbaazi kisha toka nje ukiwa uchi alafu elekea njia panda

🚨 Mdharau mwiba.....
By Dr dogoli kinyamkela ☠️💀
1740487714415.jpg
 
Kama unataka mtu ahame basi chukua mchanga wa unyayo wake yaani sehemu aliyokanyaga kisha rusha linapochomoza jua au magharibi au sehemu tofauti tofauti
1740497466417.jpg
 
Ukitaka mtu asilale usiku basi chukua udongo wa kaburi kisha nyunyizia chini ya kitanda chake
By Dr dogoli kinyamkela ☠️💀🔥🔥
 
KABLA HUJAJARIBU HII KITU HAKIKISHA SURUARI YAKO INA ZIPU IMARA AU VIFUNGO VYA CHUMA.

NAONGEA NA WANAUME NA SIO WATOTO WA KIUME.

HII TUNATENGENEZA KITU INAITWA ELECTROLYTE WATER AU MAJI YA MSHAWASHO .

SIO GHARAMA NI KAMA JERO HIVI NA UNAJITIBU.

1. KUIMARISHA MISULI
2. KUONGEZA UWINGI WA SHAHAWA
3. KUONGEZA HAMU
4. KUBALANCE PRESSURE YA DAMU
5. KUCHANGAMSHA MISHIPA YA FAHAMU
6. VIDONDA VYA TUMBO
7. MAGOTI NA VIUNGO
8. CONSTIPATION (CHOO NGUMU)
9. SUKARI
10. VIDONDA SUGU
11. HEDHI ISIYO NA UTARATIBU
12. KIZAZI

KUANDAA.
1. KISANYA HIVYO VIUNGO VYOTE
2. TWANGA KWENYE KINU NA SIO BLENDER
3. WEKA KWENYE JAGI
4. WEKA MAJI GLASS 2
5. ASALI VIJIKO 3

IACHE KWA SAA 12 ILI UPATE FUSE KAMILI.

Baada ya hapo chukua maji vuguvugu nusu glass halafu changanya dawa Yako nusu glass asubuhi na jioni.

Mdogo wangu na kaka yangu ukinywa hii KITU bila stress utakuja kunishukuru baadaye.

Usinywe energy drink yeyote wakati unatumia hii. Tafadhali usinywe energy narudia.

Kama hujaoa tafadhali usiweke asali na pilipili manga. Chonde chonde mwanaone.

Kama una mchaichai weka majani 4 na utwange kwa pamoja na viungo vingine.

Kama unataka maziwa ya mtoto yatoke kwa wingi ongeza pilipili manga iwe kijiko kikubwa halafu utachanganView attachment 3225453ya kwenye maji ya moto wakati wa kunywa.
Asante,hivyo viungo kiasi gani mkuu navisaga,mfano tangawizi ngapi,vitunguu saumu vingapo,pilipilimanga ngapi nk
 
Chukua chura akiwa hai,mpasue kama unamfanyia operation Kisha weka kipande cha karatasi chenye jina la adui lililoandikwa mara Tisa KWA wino mwekundu , pilipili mbuzi ya unga,vumbi la chuma kisha mshone bado akiwa hai alafu muweke juani akauke baada ya siku tisa mchukue alafu kamfukie kwenye kaburi,kwisha habari yake

Pia unaweza tu ukachukua Unga wake baada ya kumuanika kisha ukaficha kwenye kucha yako ndefu alafu ukamuwekea kwenye kinywaji.View attachment 3245576
Sio rahisi hivyo Kuna jamaa yangu mifugo yake iliuliwa na shamba likazulumiwa alifanya mambo mengi sana kwa ajili ya adui yake lakini wapi hiyo inshu ya chura nayo alifanya WATU WENGI NDUGU ZAO WAMEULIWA HAPA NCHINI INAMANA WAKIMTOBOA CHURA NA KUFUATA ULIVYOSEMA NANILIU ALIYEHUSIKA ATAKUFA AU ATAUMWA HATA MAFUA hahhaahhaahahahahhahahaha nitafute nikupe jibu
 
Sio rahisi hivyo Kuna jamaa yangu mifugo yake iliuliwa na shamba likazulumiwa alifanya mambo mengi sana kwa ajili ya adui yake lakini wapi hiyo inshu ya chura nayo alifanya WATU WENGI NDUGU ZAO WAMEULIWA HAPA NCHINI INAMANA WAKIMTOBOA CHURA NA KUFUATA ULIVYOSEMA NANILIU ALIYEHUSIKA ATAKUFA AU ATAUMWA HATA MAFUA hahhaahhaahahahahhahahaha nitafute nikupe jibu
Uwez elewa mambo ya asili,Sasa utampiga mtu tu bila kumpiga research kama na yy ana zana zip na amejipangaje kivita🤷🏽‍♂️,Sasa Bora hao waliwapiga adui zao Waka Kaa kimya unakuta adui n kichefu chefu alafu akubal kushindwa ukimgusa yy anafanya kweli apo ndo tunapo kulia ubwabwa😂😂🚶🏽‍♂️🚶🏽‍♂️
 
Manyara, specifically Mbulu na Babati. Kwa mkoa wa Arusha wako sana Karatu.
Dr. Willbroad Slaa &Pauline Gekul ni Wairaqw
nkwambie wairaq ni wambulu, kina Sumaye, wazee wa idomaa, idorii, saitaa. Wakina Dagharoo 😂😂😂
 
Mmea ni majabu ya Mungu kwetu .

Mmea hapo kwenye picha :

🥬Kisukuma unaitwa Mjorwambogo.
🥬Kikamba unaitwa Ithaa.
🥬Kikikuyu unaitwa Mwino au mwinu.
🥬Kijaruo unaitwa Ovino au owinu.
🥬Kimeru unaitwa Kirao au Murao.
🥬Kitaita unaitwa Mbinu au Mshua.
🥬Kiiraq unaitwa Nkharerei.
🥬Kihehe huitwa Mulimuli.
🥬Kisambaa huitwa Mzangazi.

Kuhusu matibabu :

🥬 Huo mti hutibu magonjwa ya ini...
🥬Hutibu vidonda vya tumbo. Hutibu malaria, typhoid na ameba.
🥬Hutibu kisonono. Huondoa sumu zote mwilini na kupunguza mafuta.
🥬Mtidawa huu hushusha shinikizo la damu yaani presha ya kupanda.
🥬Hutibu chlamydia. Hutibu magonjwa ya mifupa. Magonjwa yote ya mfumo wa uzazi wa mwanamke hutibiwa na mti huu...
🥬Mti huu humwezesha mwanamke kushika ujauzito ikiwa hajakoma hedhi.Hii hufanyika kwa kuondoa uvimbe wowote kwenye mfumo wa uzazi, ini, bandama, figo, kusafisha kizazi, kurutubisha mayai na kuongeza uwezekano wa kupata ujauzito

🥬 Mti huu hurudisha mzunguko wa hedhi na kuuweka uwe sawa ikiwemo kuondoa maumivu kipindi cha hedhi...
🥬Mti huu huondoa uvimbe wa aina yoyote ndani ya mirija ya uzazi, ovari, uterus au kizazi kwa muda wa wiki tatu tuu..

NAMNA YA KUTENGENEZA

🥬Chukua majani yake. Hakikisha huchanganyi na mbegu zake. Chukua majani tuu. Chukua mengi kadri uwezavyo. Yaanike mahali safi ndani, Yasambaze kabisa. Baada ya siku tatu kama mahali hapo pana joto la kutosha (hapo ndani na siyo nje kwenye jua) yatakauka.Saga ili kupata unga laini, Waweza kusaga hata kwa kufikicha tuu kwa mkono. Ni malaini na yanasagika kwa haraka mno ikiwa yamekauka vizuri. Waweza kusaga kwa kutumia brenda pia...

NAMNA YA KUTUMIA

🥬 Isipokuwa ugonjwa wa kisonono, tumia kijiko kidogo ndani ya maji ya moto nusu kikombe cha chai asubuhi na jioni kwa muda wa week mbili. Baada ya hapo, nenda ukapime hutaona kitu.

🫐Kumbuka: Mtidawa huu utakufanya uharishe kama mara tatu kila unapokunywa. Kadri tatizo linavyoendelea kuisha mwilini, kuharisha nako kunapungua na mwisho kupotea kabisa. WagonjwaView attachment 3225379
Shamba kwangu yameota hadi kero kumbe dawa?
 
Back
Top Bottom