Mimi binafsi nakutakia safari njema baba, japo sina uwezo wa kuambatana na wewe

inaonyesha we ni muumini mchwara ndo mana kanisa linashindwa kukupa sapoti au wanahofu ukifika da utaanza kuvunja mifupa.
all in all ungen-tag nngekusaidia ufike dar ht kwa mawazo.
 
inaonyesha we ni muumini mchwara ndo mana kanisa linashindwa kukupa sapoti au wanahofu ukifika da utaanza kuvunja mifupa.
all in all ungen-tag nngekusaidia ufike dar ht kwa mawazo.
😳😳😳😳 Kanisa hawatoi support kwa mtu, wamesema kila mtu ajiandae.
 
Ameahamua kujitoa kwenye kundi la wanaoenda dar ili kuunga mkono juhudi za mzee baba
 
hahahahahah role model wangu. Najua wewe hauko kwenye nchi hii ya minyoo na taifodi. hahahahahaha.
Ila ndio hivyo tarehe 6/9/2016 ndio siku ya kumsindikiza Askofu Rwaichi kwenda Dar.
Jaribu kuongea nae anaweza kukutumia pesa kupitia watu wengine wa karibu yake ambao wapo tz

[emoji12] [emoji12] [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasindikizaji wote tunakuwa kwenye msafara mmoja. Hata askofu atapanda gari sio bambadia. Tunakwenda kama msafara ujue
Duu!!! Ok nitakupa contact ya mtu akulete dar kwa private car ajiunge kwenye msafara huo, ukifika dar gharama za maisha kwa siku utakazo kuwa ni juu yangu.
 
Sasa wee si umeshapachoka huko Dar hasa Pwani huko Msata kwa Mzee Mshana Jr. hahahahaahah.
Siku ukiwa tayari kuja Mwanza niambie tu mpendwa utanikuta, tena mtu mwenyewe mie ni wa viwanja nitakuzungusha kila kona
Waoooh dada nakupendaje hakika nina mengi ya kuongea na wewe hakika niombee nipate likizo mwezi wa 12 nije kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nijipange, ipo siku nitalitembelea hilo jiji nije kula supu ya sato na sangara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…