Mimi kama Great God jina langu ninalotumia Jf Jinsi nilivyo!?

Mimi kama Great God jina langu ninalotumia Jf Jinsi nilivyo!?

Mkogoti

TAPELI Mkubwa
Joined
May 3, 2020
Posts
2,415
Reaction score
3,924
Habari katika natumaini Tu wazima na wenye Nguvu,

Mimi kama Great God niliechagua kutumia jina la Mwenyezi MUNGU maana bila hatujui wengine tungekuwa vipi humu bali ni yeye ndo anajua,

Mimi kwangu naomba ijulikane tu kwamba uzi wowote ukianzishwa au nikianzisha basi nikireply basi kwangu huwa ni utani napenda sana ucheshi na kufurahi, lakini ndugu zangu wengine wanaona nachukulia ni upumbavu nyuzi zao hapana siko hivyo kabisa, wala jinsi wanavyofikilia,

Mimi ata ukinitukana matusi yote humu siwezi kubishana nawe ntakwambia tu yameisha ndo jinsi nilivyo basi itabaki kuwa hivyo? Humu wote tunapitia tu hatuyajui ya kesho kama utaamka salama au utaamka kiungo kimoja hakifanyi kazi, sote hatujui ila Mwenyezi MUNGU pekee,

Sababu ya kuandika uzi huu ni huko nimetukanwa baada ya kuleta ucheshi wangu huu basi Mimi nipo tu ntakuwa naangalia tu. 🙏
 
Kimsingi usijaribu kumplease yoyote humu, kuna kila aina ya watu huku na tabia za kila namna...either za kujitoa ufahamu nyuma ya fake ID ama ndivyo walivyo

Sometimes unaweza kuandika jambo katika namna ya utani lakini usieleweke kama utani ukajikuta unakosana na mtu mixer matusi juu,ndivyo binadamu tulivyo

Mie ukinitukana humu itadepend na mood iliyopo hiyo siku​
 
Kimsingi usijaribu kumplease yoyote humu,kuna kila aina ya watu huku na tabia za kila namna...either za kujitoa ufahamu nyuma ya fake ID ama ndivyo walivyo

Sometimes unaweza kuandika jambo katika namna ya utani lakini usieleweke kama utani ukajikuta unakosana na mtu mixer matusi juu,ndivyo binadamu tulivyo

Mie ukinitukana humu itadepend na mood iliyopo hiyo siku​
Kweli
 
Kimsingi usijaribu kumplease yoyote humu, kuna kila aina ya watu huku na tabia za kila namna...either za kujitoa ufahamu nyuma ya fake ID ama ndivyo walivyo

Sometimes unaweza kuandika jambo katika namna ya utani lakini usieleweke kama utani ukajikuta unakosana na mtu mixer matusi juu,ndivyo binadamu tulivyo

Mie ukinitukana humu itadepend na mood iliyopo hiyo siku​
Hakuna cha kuongezea. That's my MO tooo...na maisha ya hapa JF yako smooth...

Hii hata huko kitaa inaapply pia....
 
Hakuna cha kuongezea. That's my MO tooo...na maisha ya hapa JF yako smooth...

Hii hata huko kitaa inaapply pia....

Yeah,that's how it is sir...

Unaweza kuandika jambo likamfurahisha SHIMBA YA BUYENZE lakini upande wa Joanah akawa offended

Mie naamini JF ina vichaa wa kutosha na wakati huo huo kuna watu waelewa kinyama,sasa ni jambo ambalo ni nadra sana kichaa na muelewa kuwa na same opinion(s)
 
Yeah,that's how it is sir...

Unaweza kuandika jambo likamfurahisha SHIMBA YA BUYENZE lakini upande wa Joanah akawa offended

Mie naamini JF ina vichaa wa kutosha na wakati huo huo kuna watu waelewa kinyama,sasa ni jambo ambalo ni nadra sana kichaa na muelewa kuwa na same opinion(s)
Ndiyo. Sote tuko tofauti. Na katika utofauti wetu huo pia ndimo mna kukamilishana.

Nilipokuwa mgeni hapa nilikuwa naghafilika mtu akiniporomoshea matusi. Siku hizi hata simjibu bali namtia tu kwenye iginoa listi na sitakaa nimsikie tena.

Ni furaha sana kuwa huru na kuposti unachotaka ali mradi hakivunji sheria. Na kamwe huwezi kumfurahisha binadamu hata siku moja...

Wewe huwa nakuadimaya kwa sababu uko vile vile tu hata iweje. Mabaharia wanakufungulia nyuzi lakini hughafiliki na unakwenda nao pole pole tu. Very unique indeed !!!
 
Ndiyo. Sote tuko tofauti. Na katika utofauti wetu huo pia ndimo mna kukamilishana.

Nilipokuwa mgeni hapa nilikuwa naghafilika mtu akiniporomoshea matusi. Siku hizi hata simjibu bali namtia tu kwenye iginoa listi na sitakaa nimsikie tena.

Ni furaha sana kuwa huru na kuposti unachotaka ali mradi hakivunji sheria. Na kamwe huwezi kumfurahisha binadamu hata siku moja...

Wewe huwa nakuadimaya kwa sababu uko vile vile tu hata iweje. Mabaharia wanakufungulia nyuzi lakini hughafiliki na unakwenda nao pole pole tu. Very unique indeed !!!
Hiyo ya ignore list ni moja ya easiest way kukwepa migogoro humu,kuna ID ilinipa idea ya ku ignore...najitahidi kuitumia kwa sasa

Nashukuru Mungu mabaharia wameachana na mimi siku hizi,sina nyuzi zinazoletwa tena kunihusu 😁😁
 
Utani wako sawa ila kutumia jina hilo kama jina lako sio sahihi na kamwe haikubaliki ktk mizania ya imani yoyote ile, jiite majina yote, makubwa na madogo lkn kamwe binadamu kiumbe asijiite jina la. Muumba wake, kwangu ni kufuru, naamini nakwako pia....kama itakupendeza please change it, maana sasa huku ni kulifanyia mzaha jina la Labuka, Mimi nimenawa mikono, damu yako haitatakwa mikononi mwangu.
 
Utani wako sawa ila kutumia jina hilo kama jina lako sio sahihi na kamwe haikubaliki ktk mizania ya imani yoyote ile, jiite majina yote, makubwa na madogo lkn kamwe binadamu kiumbe asijiite jina la. Muumba wake, kwangu ni kufuru, naamini nakwako pia....kama itakupendeza please change it, maana sasa huku ni kulifanyia mzaha jina la Labuka, Mimi nimenawa mikono, damu yako haitatakwa mikononi mwangu.
Sawa Mkuu nimekusikia
 
Utani wako sawa ila kutumia jina hilo kama jina lako sio sahihi na kamwe haikubaliki ktk mizania ya imani yoyote ile, jiite majina yote, makubwa na madogo lkn kamwe binadamu kiumbe asijiite jina la. Muumba wake, kwangu ni kufuru, naamini nakwako pia....kama itakupendeza please change it, maana sasa huku ni kulifanyia mzaha jina la Labuka, Mimi nimenawa mikono, damu yako haitatakwa mikononi mwangu.
Naunga mkono hoja, huwezi jiita mungu aisee!
 
Umesema kweli kabisa
Watu wengi humu tunapenda utani ila kwa vile huwa tunabishana kila siku na kushusha essays tunaonekana makauzu muda wote
Mbeijing mwenzangu.
Nimekumbuka lile jina jipya la Jana tulibatizwa.. Certified feminists [emoji1787]
 
Back
Top Bottom