chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Kwenda macca kwa jambo la kiimani ni ishara kubwa sana kwa muislamu yoyote yule, na lazima tabia zake pia ziakisi heshma ya Macca na uislamu.
Haji Manara alikuwa mwalimu wa madrasa, na amepiga sana madufu na ngoma za daku usiku kucha.
Lakini tangu atoke Macca amekuwa mtu wa hovyo sana, na tabia zake ni matusi kwa uislamu. Anashikana na wanawake hovyohovyo mabarabarani wakiwa uchi wa mnyama, anakutwa na picha za video akiwa na machangudoa naambo mengi machafumachafu.
Alienda Macca au Makambako?
Haji Manara alikuwa mwalimu wa madrasa, na amepiga sana madufu na ngoma za daku usiku kucha.
Lakini tangu atoke Macca amekuwa mtu wa hovyo sana, na tabia zake ni matusi kwa uislamu. Anashikana na wanawake hovyohovyo mabarabarani wakiwa uchi wa mnyama, anakutwa na picha za video akiwa na machangudoa naambo mengi machafumachafu.
Alienda Macca au Makambako?