Mimi kama muislamu najiuliza, Haji Manara alienda Macca au Makambako?

Mimi kama muislamu najiuliza, Haji Manara alienda Macca au Makambako?

Kwenda macca kwa jambo la kiimani ni ishara kubwa sana kwa muislamu yoyote yule, na lazima tabia zake pia ziakisi heshma ya Macca na uislamu.

Haji Manara alikuwa mwalimu wa madrasa, na amepiga sana madufu na ngoma za daku usiku kucha.

Lakini tangu atoke Macca amekuwa mtu wa hovyo sana, na tabia zake ni matusi kwa uislamu. Anashikana na wanawake hovyohovyo mabarabarani wakiwa uchi wa mnyama, anakutwa na picha za video akiwa na machangudoa naambo mengi machafumachafu.

Alienda Macca au Makambako?View attachment 2851479View attachment 2851480
Zungu hajielewi.
 
Mwache Manara afurahi
Hivi kwanini vitu vizuri ndo dhambi jamani?
Yani kula bebe kali ni dhambi
Kupiga [emoji482] dhambi
Kula kitimoto dhambi
Mziki dhambi
Mpira dhambi
Uislam ni mgumu hata me ningeshindwa
 
Mwache Manara afurahi
Hivi kwanini vitu vizuri ndo dhambi jamani?
Yani kula bebe kali ni dhambi
Kupiga [emoji482] dhambi
Kula kitimoto dhambi
Mziki dhambi
Mpira dhambi
Uislam ni mgumu hata me ningeshindwa
Eeehh
 
Kwenda macca kwa jambo la kiimani ni ishara kubwa sana kwa muislamu yoyote yule, na lazima tabia zake pia ziakisi heshma ya Macca na uislamu.

Haji Manara alikuwa mwalimu wa madrasa, na amepiga sana madufu na ngoma za daku usiku kucha.

Lakini tangu atoke Macca amekuwa mtu wa hovyo sana, na tabia zake ni matusi kwa uislamu. Anashikana na wanawake hovyohovyo mabarabarani wakiwa uchi wa mnyama, anakutwa na picha za video akiwa na machangudoa naambo mengi machafumachafu.

Alienda Macca au Makambako?View attachment 2851479View attachment 2851480
Huyu ni msanii tu, ukiwa unakaa na kumuabudu yeye basi imekula kwako na usikute hata huko Mecca hajaenda......kapiga tu picha akiwa uwanja wa ndege kudanganya watu kuwa kaenda Mecca kuacha kufilana na machangu wa mjini.
 
Mwache Manara afurahi
Hivi kwanini vitu vizuri ndo dhambi jamani?
Yani kula bebe kali ni dhambi
Kupiga [emoji482] dhambi
Kula kitimoto dhambi
Mziki dhambi
Mpira dhambi
Uislam ni mgumu hata me ningeshindwa
Hayo mengine ni upotofu tu wa imani, nani alihukumiwa kula kiti moto hapa duniani? Mkifuata mambo ya Muddy mtachanganikiwa kimaisha, yeye anasema kulala na mke wa mwenzio ni dhambi ila yeye alikuwa anafanya hivyo tena alioa mke wa mwanawe wa kambo, think of that. Pia akaja kuoa kitoto kidogo Aisha na kukipiga miti kikiwa na miaka 9 huku yeye Muddy akiwa na miaka 54, inakuja akilini kweli hii? Muddy alikuwa jangili wa imani kwa kweli, anacheza sana na hisia za watu na bado wanamuamini tu.
 
Kuna wizara inatwa:

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum.
Msisahau huyo mtu huko kundi la Watu maalumu la walemavu.
Kuna watu jinsi umri unavyo ende ndivyo anavyokua mtoto
 
Kwenda macca kwa jambo la kiimani ni ishara kubwa sana kwa muislamu yoyote yule, na lazima tabia zake pia ziakisi heshma ya Macca na uislamu.

Haji Manara alikuwa mwalimu wa madrasa, na amepiga sana madufu na ngoma za daku usiku kucha.

Lakini tangu atoke Macca amekuwa mtu wa hovyo sana, na tabia zake ni matusi kwa uislamu. Anashikana na wanawake hovyohovyo mabarabarani wakiwa uchi wa mnyama, anakutwa na picha za video akiwa na machangudoa naambo mengi machafumachafu.

Alienda Macca au Makambako?View attachment 2851479View attachment 2851480
mecca ni sehemu ya utalii kama kwenda zanzibar ndo maana hakuna chochote cha tofauti alivyoenda na alivyorudi.Wachana na porojo za zamani za vijiweni kuhusu maka.
 
Kwenda macca kwa jambo la kiimani ni ishara kubwa sana kwa muislamu yoyote yule, na lazima tabia zake pia ziakisi heshma ya Macca na uislamu.

Haji Manara alikuwa mwalimu wa madrasa, na amepiga sana madufu na ngoma za daku usiku kucha.

Lakini tangu atoke Macca amekuwa mtu wa hovyo sana, na tabia zake ni matusi kwa uislamu. Anashikana na wanawake hovyohovyo mabarabarani wakiwa uchi wa mnyama, anakutwa na picha za video akiwa na machangudoa naambo mengi machafumachafu.

Alienda Macca au Makambako?View attachment 2851479View attachment 2851480
haji ni kafiri
 
Nyie waislamu huwaga washamba sana,acha kufuatilia maisha ya mtu, nenda macca nawewe uishi unavyotaka ndio mana wengiwenu maskini kwasababu ya chuki za udini mlizojazwa
 
Ishi maisha yako acha kuwaza maisha ya wenzako kwani alienda kwa gharama zako? Alienda kwa ajili yako? Hao wanaoshikwa unawaonea wivu?

Kama huna Kazi nenda masjid makonde pale uuze mitishamba
Kwan social media ni ya majini au watu???
Ebu usimtishe mtoa mada .... ukileta mtandaoni maisha yako means unataka udiskasiwe
 
Back
Top Bottom