Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu unalo huyo alikua makambako.Kwenda macca kwa jambo la kiimani ni ishara kubwa sana kwa muislamu yoyote yule, na lazima tabia zake pia ziakisi heshma ya Macca na uislamu.
Haji Manara alikuwa mwalimu wa madrasa, na amepiga sana madufu na ngoma za daku usiku kucha.
Lakini tangu atoke Macca amekuwa mtu wa hovyo sana, na tabia zake ni matusi kwa uislamu. Anashikana na wanawake hovyohovyo mabarabarani wakiwa uchi wa mnyama, anakutwa na picha za video akiwa na machangudoa naambo mengi machafumachafu.
Alienda Macca au Makambako?View attachment 2851479View attachment 2851480
Huyo jamaa anakula mdudu vizuri tu.hata hauliziSio wote
[emoji3][emoji3][emoji3]Umejibu kama wewe ndo Haji mwenyewe[emoji28][emoji28]
Hivi manara ni kijana?si ni lizee kabisa lilePunguza kufuatilia maisha ya watu...
Muacheni kijana wa watu aishi maisha yake...wewe ni nani umuhukumu na dini yako feki...
Watu kila siku wanaambiwa wapunguze ushauri kwenye maisha ya watu hawaelewi.....Ishi maisha yako acha kuwaza maisha ya wenzako kwani alienda kwa gharama zako? Alienda kwa ajili yako? Hao wanaoshikwa unawaonea wivu?
Kama huna Kazi nenda masjid makonde pale uuze mitishamba
Bado tuna safar ndefuWatu kila siku wanaambiwa wapunguze ushauri kwenye maisha ya watu hawaelewi.....
Umeumia sana.Ishi maisha yako acha kuwaza maisha ya wenzako kwani alienda kwa gharama zako? Alienda kwa ajili yako? Hao wanaoshikwa unawaonea wivu?
Kama huna Kazi nenda masjid makonde pale uuze mitishamba
Ukute na ww ni baba wa familia! Unashadadia upuuzi na umbea umbea! Ewe bavicha badilikaUmeumia sana.
Ujumbe wako umebeba nukta zote za maumivu makali🤣🤣🤣
Pain again dah🤣Ukute na ww ni baba wa familia! Unashadadia upuuzi na umbea umbea! Ewe bavicha badilika
UZI UFUNGWESio kila anae enda makka, anaenda kuhijji wengine ni watalii tu, kama watalii wengine.