Mimi kama muislamu najiuliza, Haji Manara alienda Macca au Makambako?

Mimi kama muislamu najiuliza, Haji Manara alienda Macca au Makambako?

Kwenda macca kwa jambo la kiimani ni ishara kubwa sana kwa muislamu yoyote yule, na lazima tabia zake pia ziakisi heshma ya Macca na uislamu.

Haji Manara alikuwa mwalimu wa madrasa, na amepiga sana madufu na ngoma za daku usiku kucha.

Lakini tangu atoke Macca amekuwa mtu wa hovyo sana, na tabia zake ni matusi kwa uislamu. Anashikana na wanawake hovyohovyo mabarabarani wakiwa uchi wa mnyama, anakutwa na picha za video akiwa na machangudoa naambo mengi machafumachafu.

Alienda Macca au Makambako?View attachment 2851479View attachment 2851480
Jibu unalo huyo alikua makambako.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Ishi maisha yako acha kuwaza maisha ya wenzako kwani alienda kwa gharama zako? Alienda kwa ajili yako? Hao wanaoshikwa unawaonea wivu?

Kama huna Kazi nenda masjid makonde pale uuze mitishamba
Watu kila siku wanaambiwa wapunguze ushauri kwenye maisha ya watu hawaelewi.....
 
Ishi maisha yako acha kuwaza maisha ya wenzako kwani alienda kwa gharama zako? Alienda kwa ajili yako? Hao wanaoshikwa unawaonea wivu?

Kama huna Kazi nenda masjid makonde pale uuze mitishamba
Umeumia sana.
Ujumbe wako umebeba nukta zote za maumivu makali🤣🤣🤣
 
Tena inawezekana alienda makambako mtaa wa kitisi au kwa MNANGE
 
manara kaingia dini ya watu wenye govi na kukubali ushoga
 
Back
Top Bottom