Mimi kama muislamu najiuliza, Haji Manara alienda Macca au Makambako?

Nature never change
 
Mh
 
Tabia zake ni za kwake hazina connection na Uislamu.
 
Alikwenda macca kwa kiki kama hizo anazozionyesha hivyo ni yeye na Mwenyezi Mungu wake usimjadili sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…