Mimi kama shabiki wa USM ALGER nikiwa katika jiji lenye raha hapa ALGIERS nchini Algeria

Mimi kama shabiki wa USM ALGER nikiwa katika jiji lenye raha hapa ALGIERS nchini Algeria

Mm kama shabiki wa USM ALGER nikiwa katika jiji lenye raha hapa ALGIERS nchini Algeria
Timu yangu pendwa toka utotoni ipo fainal kuchukua kombe letu mapema dhidi ya timu dhaifu iliyoshindiliwa goli 2 bila dhidi ya marafiki zetu simba
Wakazi wote wa ARNAT,AMDOUKAL,BECHAR,BEJALA na viunga vyote vya Algeria mnakaribisha kupiga picha tarehe 29 maana kombe tumeshalichukua

Shabiki wa klabu ya Union Sportive de la Médina d'Alger maarufu kama USM Alger au USMA.
Hii ni timu yenye mafanikio na yenye kutoa nyota(wachezaji mashuhuri wenye vipaji vya Ballon dor wanaocheza ligi kubwa duniani kama RIYAD MAHREZ, KARIM BENZEMA,SAID BENRAHMA hawa wote walicheza klabu pendwa ya USM ALGER)
kama ilivyo kawaida yetu usm Alger hatujawahi kupoteza fainal wala kombe lolote mbele yetu
USM ALGER ni Madrid ya ulaya View attachment 2627741
Kikosi cha USM ALGER chenye thamani ya BIL 50 View attachment 2627745
Anaitwa MUSTAPHA BOUCHINA kacheza Aston Villa timu yenye Uefa hata Arsenal hana
Ana mechi 20 goli 78 View attachment 2627753
Huu ni uwanja wetu USM ALGER wa mazoez tu ambao hata hao UTO hawana kiwanja hata cha kufugia maafisa habari wao View attachment 2627755
Huu ndyo uwanja wetu pendwa USM ALGER upo pembezoni mwa bahari mara mwisho timu kutufungwa hapa 2019
Najua UTO hamna uwanja poooo

BA NTWA BA USM ALGER
QULED EL-BAHOJA
Mkuu hapo kwa MUSTAPHA BOUCHINA siyo kweli kuhusu hizo rekodi ulizoweka. Pia ni beki huyo siyo mshambuliaji. Hana goli.
Tuwe washabiki wenye kuzungumza ukweli.
 
Mkuu hapo kwa MUSTAPHA BOUCHINA siyo kweli kuhusu hizo rekodi ulizoweka. Pia ni beki huyo siyo mshambuliaji. Hana goli.
Tuwe washabiki wenye kuzungumza ukweli.

Unataka kuniharibia sherehe yangu toka pepo toka مسوييويرينيينينطريريتبتطتينييتتتريتطترريتييبتبتبتبببتبتبتبتبتبتبتتبتبننتقتتيتيتبت
 
Unataka kuniharibia sherehe yangu toka pepo toka مسوييويرينيينينطريريتبتطتينييتتتريتطترريتييبتبتبتبببتبتبتبتبتبتبتتبتبننتقتتيتيتبت
Yanga bingwa leo

Ova
 
Unataka kuniharibia sherehe yangu toka pepo toka مسوييويرينيينينطريريتبتطتينييتتتريتطترريتييبتبتبتبببتبتبتبتبتبتبتتبتبننتقتتيتيتبت
Stupid wahed
 
Yanga bingwa leo

Ova

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
IMG_7602.jpg

Baada ya timu yangu pendwa toka utotoni USM ALGER sasa tunahamia kwa majiran zetu Azam FCمسسوسوسوسنويينيووDUBE
 
Wamestahili ubingwa, halafu unakuta mtu anajitapa oh tumeshinda, sasa mnashindaje bila kombe!! Nini maana ya fainali mbili!! Hapo mshindi ni ALGER ambae ana magoli 2-1
 
USM ALGER TUNAZIDI KUWATWANGA TU KOMBE LA CAF CHAMPIONS LEAGUE TUNALIBEBA MSMU HUU[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom