Leslie Mbena
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 207
- 677
- Thread starter
-
- #41
"House Nigger ukimwambia toka ujikomboe atakwambia hapa Mimi nalishwa na mzungu,napewa mkate na maziwa,nikitoka niende kujikomboa nani atanipa mkate na Maziwa!?" - Malcom xUnafahamu fika hutaweza kumuangusha kwenye kura za maoni huyo Aziz Abood kutokana na ushawishi wake hapo Moro. Unachokifanya ni kutaka tu uonekane ili Mzee wa kuteua akupe ulaji siku za usoni.
Tangu mlipoufahamu udhaifu wake, mnamtumia kweli kweli pasipo kujua hivyo vyeo mfano DED, DAS, RAS, nk ni mali ya Watumishi wa umma waliojitoa kufanya kazi kwa maslahi ya Nchi kwa miaka mingi, na siyo kwa ajili yenu nyinyi mlioshindwa kura za maoni kwenye chama chenu.
Morogoro Mjini inahitaji mtu mwenye muono tofauti na muono alionao Abood hivi sasa, Abood juzi Kilosa anasimama anasema Mh Rais Wananchi wa Morogoro wamenituma kukushukuru kwa kutuletea ambulance na helikopta kuchukua wagonjwa hospital kubwa kuwapeleka Muhimbili!Ila kwa taarifa Moro mjini kuna Bwn Abood hapo utafua dafu?
Usije rudi unalialia humu mitandaoni, kila la heri!!
Tayari Bilioni 175.6 zimetolewa kutoka shirika la Maendeleo la Ufaransa kwa ajili ya kutatua changamoto za maji katika Jimbo la Morogoro Mjini na kuwapatia Wananchi maji safi na salama na kuchochea Maendeleo ya kipato cha Mwananchi mmoja mmoja,Haya ukiwa mbunge utasaidiaje upatikanaji wa maji morogoro mjini.
Leslie Oscar Mbena...hongera kwa uthubutu! Ukoo wenu Mbena Malumbi!?
Waluguru watataka kujua je utatoa mabasi kwenye misiba??
Kama siku zone umekuwa ukisaidia tawi lako la Kimara, hujawahi kusaidia Morogoro mjini watakufahamu vipi??
Mwenzako mwarabu anawapatia misaada SANA, huwa anagawa vya bure Morogoro mjini siyo Kimara.
Mfano
Janga la moto Msamvu, aligawa madawa..
CORONA, aligawa barakoa na akamwaga ndoo za maji na sabuni stendi.
Everyday is Saturday...π
Hahahaha tupo pamojatukiwa huku tunanena lugha moja
Mwinzaa Sekurughenda fwigheghendile matsi imbwari ina misiki!πππͺπͺπ
Nakwenda kumhubiria "house Nigger" ajikomboe toka kwa mwarabu,Sitaki kuwa negative lakini kumuondoa abood morogoro yahitajika nguvu ya ziada maana moro kwa abood sio jimbo pekee. Kiasi flani ni business empire na kaajiri watu wengi tu
Ukiachana na hiyo misaada, nikiangalia sera yenyewe sidhani kama lay man anaweza kuelewa kama mimi tu na akili zangu za kuvukia barabara nimeshindwa.
unaenda moro kuwaaminisha watu kuwa wategemee kuwa kkoo ndogo ilhali hao watu kwao dar ni kama Idol. Mtihani huu
All the best lakini
Sitaki kuwa negative lakini kumuondoa abood morogoro yahitajika nguvu ya ziada maana moro kwa abood sio jimbo pekee. Kiasi flani ni business empire na kaajiri watu wengi tu
Ukiachana na hiyo misaada, nikiangalia sera yenyewe sidhani kama lay man anaweza kuelewa kama mimi tu na akili zangu za kuvukia barabara nimeshindwa.
unaenda moro kuwaaminisha watu kuwa wategemee kuwa kkoo ndogo ilhali hao watu kwao dar ni kama Idol. Mtihani huu
All the best lakini
Kumbe ili kuwa Mbunge unatakiwa kuwa na digrii ya UD. Sikujua hilo. Mbona Kibajaji wa Mtera ana darasa la saba tu. Mbona Msukuma hana darasa la saba na ni Mbunge. Mbona majimbo kibao tu ni wabunge bila kuwa na digrii na wengi tu wana digrii za vyuo vingine. Hivi na Abood ana digrii ua UD?Digrii zote hujagusa UD? Shida inaanzia hapo
ππππ mjumbe wa maswali tokea NEC1. Utatumia njia gani kuifanya hiyo morogoro kuwa kama Kariakoo?
2. Je utaweza kupageuza kuwa K/Koo kwa muda gani na kwa bajeti gani?
3. Morogoro mjini kuna changamoto kubwa ya maji, je umeweka mikakati gani kuondoa hilo tatizo?
4. Huduma za elimu na afya ni changamoto haswa magari ya kubeba wagonjwa na vituo vichache vya afya. Umejipanga vp kutatua hilo?
5. Barabara nyingi ni za vumbi una mkakati gani kuboresha?
6. Je una sera gani kuhusu mazingira yaliyoharibika ya Morogoro kama ukipewa dhamana ya kuwa mbunge?
7. Je mipango yako ya kuibadilisha Morogoro inaendana na sera ya uchaguzi ya Chama ya mwaka 2015-20 au umeitoa tu kichwani?
8. Morogoro ni mkoa ambayo ni Big 6 ya kulisha nchi kwa kupitia kilimo. Kwa nini unataka uibadilishe kuwa mji wa wachuuzi tofauti na mipango ya Serikali
9. Je unafahamu kazi za Mbunge ukiwa kama msomi wa Chuo Kikuu?
10. Je mipango unayopanga ina chanzo cha mapato ya kuiwezesha kuifanya na vyanzo hivyo ni vipi?
NAOMBA UYAJIBU HAYO MASWALI KUMI KWANZA
Mkuu ulichosema hapo ni kwamba Mh Rais kafeli, alisema viwanda vifunguliwe na havijafunguliwa, ila wewe ukiwa mbunge viwanda vitafunguliwa.Kuna watu watasema Abood anatoa mabasi ya kuzikia,Abood ametoa ambulance,Abood ana redio na tv lakini hii sio hoja,
Hoja ni kipato cha mtu mmoja mmoja kwa Mwananchi wa Morogoro,ajira hakuna ,hivi ndio vitu vinavyotakiwa vipigiwe kelele ikiwezekana Mh Rais Magufuli achukue Viwanda vyote na vifufuliwe watu wapate ajira,Mh Rais alikuja Morogoro 2016 akasimama Msamvu akasema Viwanda alivyouziwa Abood vianze kufanya kazi mara moja lakini huu Mwaka wa tano Viwanda bado havijaanza kufanya kazi.
Hiyo story kwa Morogoro ni mwaka wa 5, hakunagah. Hela ilishatolewa mradi haujawahi kufanywa!Tayari Bilioni 175.6 zimetolewa kutoka shirika la Maendeleo la Ufaransa kwa ajili ya kutatua changamoto za maji katika Jimbo la Morogoro Mjini na kuwapatia Wananchi maji safi na salama na kuchochea Maendeleo ya kipato cha Mwananchi mmoja mmoja,
Upatikanaji wa maji utaongezeka katika mji wa Morogoro kutoka mita za ujazo 33,000 kwa siku hadi kufikia mita za ujazo 89, 000 kwa siku baada ya kukamilika kwa mradi.
Usitujazie saver. Kachukue fomu na uombe Mungu ukute bwana yule kaamka powa. Hiyo ndiyo salama yako..Kila la kheri mkuu
ππππkwa mtazamo wako hilo ni kosa?? Yaani hujui Mkiti wako wa Chama anapenda kushukuriwa na kunyenyekewa??Morogoro Mjini inahitaji mtu mwenye muono tofauti na muono alionao Abood hivi sasa,Abood juzi kilosa anasimama anasema Mh Rais Wananchi wa Morogoro wamenituma kukushukuru kwa kutuletea ambulance na helikopta kuchukua wagonjwa hospital kubwa kuwapeleka Muhimbili!
Inatakiwa kubadilisha mitizamo ya watu pia 'mind set' swali fikiri je bila mabasi ya Abood hatuwezi kuzikana? mboa zamani tulikuwa tuna zikana, hata sasa bila hayo mabasi tunazikanaMorogoro Mjini inahitaji mtu mwenye muono tofauti na muono alionao Abood hivi sasa,Abood juzi kilosa anasimama anasema Mh Rais Wananchi wa Morogoro wamenituma kukushukuru kwa kutuletea ambulance na helikopta kuchukua wagonjwa hospital kubwa kuwapeleka Muhimbili!