Mimi maombi yangu ni kuwa viongozi wapige marufuku waganga wa kienyeji.

Mimi maombi yangu ni kuwa viongozi wapige marufuku waganga wa kienyeji.

mhogoz

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
739
Reaction score
1,195
Sipaji jibu kwa nini viongozi mnakumbatia waganga wa kienyeji kwenye nchi.Ninaomba sana watu Hawa wapigwe marufuku wasiwepo Tena.Kwenye hii Karne ya sayansi na technolojia sidhani tunaohitaji Tena waganga wa kienyeji.Ni kundi la watu ambao ndani yake Kuna utapeli usioweza kuelezeka.ili tuepukane na mambo ya ndugu zetu alibino kuwindwa ni heri mambo ya uganga uganga yafutwe kabisa.kama mtu ana ndoto ya kutibu watu basi aende kusomea udaktari kwenye vyuo vinavyotambulika .Tumeacha mambo yameenda kiholela sana,Leo hii ukipita mijini utakuta watu wanajinasibu wao ni watu wenye uwezo wa kutibu magonjwa kwa mitishamba wanauza dawa bila hata kuwa na uthibitisho ni namna gani hyo mitishamba ingeweza kumsaidia mtu
 
Sipaji jibu kwa nini viongozi mnakumbatia waganga wa kienyeji kwenye nchi.Ninaomba sana watu Hawa wapigwe marufuku wasiwepo Tena.Kwenye hii Karne ya sayansi na technolojia sidhani tunaohitaji Tena waganga wa kienyeji.Ni kundi la watu ambao ndani yake Kuna utapeli usioweza kuelezeka.ili tuepukane na mambo ya ndugu zetu alibino kuwindwa ni heri mambo ya uganga uganga yafutwe kabisa.kama mtu ana ndoto ya kutibu watu basi aende kusomea udaktari kwenye vyuo vinavyotambulika .Tumeacha mambo yameenda kiholela sana,Leo hii ukipita mijini utakuta watu wanajinasibu wao ni watu wenye uwezo wa kutibu magonjwa kwa mitishamba wanauza dawa bila hata kuwa na uthibitisho ni namna gani hyo mitishamba ingeweza kumsaidia mtu
Wapo waganga waliosajiliwa, wa tiba asili na tiba mbadala.
 
Sipaji jibu kwa nini viongozi mnakumbatia waganga wa kienyeji kwenye nchi.Ninaomba sana watu Hawa wapigwe marufuku wasiwepo Tena.Kwenye hii Karne ya sayansi na technolojia sidhani tunaohitaji Tena waganga wa kienyeji.Ni kundi la watu ambao ndani yake Kuna utapeli usioweza kuelezeka.ili tuepukane na mambo ya ndugu zetu alibino kuwindwa ni heri mambo ya uganga uganga yafutwe kabisa.kama mtu ana ndoto ya kutibu watu basi aende kusomea udaktari kwenye vyuo vinavyotambulika .Tumeacha mambo yameenda kiholela sana,Leo hii ukipita mijini utakuta watu wanajinasibu wao ni watu wenye uwezo wa kutibu magonjwa kwa mitishamba wanauza dawa bila hata kuwa na uthibitisho ni namna gani hyo mitishamba ingeweza kumsaidia mtu
Wao wenyewe wanaishi kwa nguvu za hao hao waganga wa kienyeji.
 
Tumeacha mambo yameenda kiholela sana,Leo hii ukipita mijini utakuta watu wanajinasibu wao ni watu wenye uwezo wa kutibu magonjwa kwa mitishamba wanauza dawa bila hata kuwa na uthibitisho ni namna gani hyo mitishamba ingeweza kumsaidia mtu
Kama sababu ni hizi itabidi hadi wakina Mwamposa na mzee wa Upako wapigwe marufuku.
 
hao viongozi wao wenyewe ndio wanaongoza kwa ushirikina wataondoaje?

BIla ya kuondoa ushirikina na uchawi ni ngumu sana kupiga hatua.
 
Ni kweli mkuu wakifanya hivyo watatusaidia sana maana hatutapata viongozi wanaotokana na uchawi bali kwa merits tu, nchi itasonga mbele.
 
Back
Top Bottom